Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ukitaka kujua uhondo wa ngoma uingie ucheze!taabu ya bness ya mbao ni madalali!wanaharibu kila kitu!pia wafanya biashara hawana cash,wanachukua kwa mkopo!ndio shida yenyewe ilipo.
1x10 cypres=1500/ft ongea!buguruni ndio kitovu cha hii bness,ila madalali sasa! Kingsimba na wewe ni dalali?mm ni mnunuzi mzuri wa mbao,hebu nipe bei ya 10X1,nahitaji Pc 200 aina ya cyprus!ukitoa bei nzuri ntakua mteja wako!mwaga hapa jamvini.
Anaetaka mbao za Cyprus ambazo treated ani PM kila size nasafirisha kokote Tanzania na nchi jirani. (Serious Buyers only, no middleman). Nawasiliana na wanunuzi tu dalali apotee na nauza cash tu, hakuna mkopo wala mchupa. Bei yangu ni poa kabisa na bidhaa za ubora wa hali ya juu.
buguruni ndio kitovu cha hii bness,ila madalali sasa! Kingsimba na wewe ni dalali?mm ni mnunuzi mzuri wa mbao,hebu nipe bei ya 10X1,nahitaji Pc 200 aina ya cyprus!ukitoa bei nzuri ntakua mteja wako!mwaga hapa jamvini.
Anaetaka mbao za Cyprus ambazo treated ani PM kila size nasafirisha kokote Tanzania na nchi jirani. (Serious Buyers only, no middleman). Nawasiliana na wanunuzi tu dalali apotee na nauza cash tu, hakuna mkopo wala mchupa. Bei yangu ni poa kabisa na bidhaa za ubora wa hali ya juu.