Mkuu Rock City, jamaa hakufafanua zaidi kuhusu huu mtaji wa kwanza wa milioni 200!.Mkuu Pasco hapo kwenye hiyo 200m ndipo kazi inapoanzia, kwani vijikampuni vyetu vidogovidogo initial capital (kwa mujibu wao) ni kiasi gani?
Hii inamaanisha hata mimi na kikampuni changu cha PPR, nikiangalia assets zatu, zile equipments zetu tuu peke yake, zimeishazidi mtaji wa milioni 200!, inamaana sasa PPR inaweza kuwa listed, tukaanzisha TV yetu, na tukairusha jf hewani free to air 24/7!.
Au JF, ikaandaa business plan yake kuwa inataka kufanya nini, mfano tukianzisha gazeti, litakuwa hit!, tukianzisha TV na Redio, itafunga kazi, hebu imagine siku ya kipindi cha Mzee Mwanakijiji, Mchambuzi, kina Nguruvi 3 wakizichambua siasa za bongo!, who can afford to miss!, tukawa listed, tukapata mtaji, tukatake off, kuna TV gani nyingine bongo inaweza kushindana na sisi?.
mimi napenda sana kuwekeza kwenye ununuzi wa hisa ila tu bado sijapata elimu stahili na kila nikijitahd kusoma mwenyewe nakutana na maswali magumu ambayo siwez kujijibu sijui ninawezaje kupata elimu juu ya umiliki wa hisa.
Private individuals | 37.0 |
Co operatives | 14.0 |
Companies | 10.2 |
DANIDA investment fund | 30.0 |
Parastatals (NIC & PPF) | 8.8 |
TOTAL | 100.0 [FONT=Arial, Calibri, Verdana, Geneva, sans-serif][/FONT] |
No, hakuna shurti la kujiunga na TIC, sharti ni moja tuu, "uwe na business idea, au business plan inayotekelezeka, na mtaji wa milioni 200! bei ni capita by assets au guarantee!.Hii nimeipenda, je hao SME's wanapaswa kujiunga kwanza na kituo cha uwekezaji kama vile TIC au vinginevyo?
Bwana Magabe, anafafanua kuwa lengo la kufungua soko hilo dogo lenye masharti nafuu, ili Watanzania wengi zaidi wenye vipato vidogo na vya kati, waweza kupata fursa za kutajirika kupitia soko la hisa la Dar es Salaam.
Kuna memba mpya ajajiunga soon na JF kwa jina la "DSE" huyo atakupa links zote, website, twitter, facebook, atc.kama ndivyo basi naomba iambiwe wapi naweza kupata elimu hii yani link.
Amesema, masharti ya kuiingiza kampuni kwenye soko hili la kukuza wajasiliamali wadogo na wakati, ni pamoja na kuwa na mtaji wa kuanzia shilingi milioni 200 tuu!. Japo hapa hakufafanua kama initial capital hii ya mtaji wa milioni 200, ni hard cash, assets au hata ile "guarantee".
Hii inamaani ukiwa tuu na wazo zuri la biashara, hata kama huna hata senti tano, unakwenda kusajili kampuni, unaandaa "bussiness plan" kuonesha ukipata mtaji wa kiasi kadhaa, una take off!. Yaani "capital by guarantee". Unapatia huyo "nomad" hiyo bussiness plan yako, anaipitia, akijiridhisha italipa, unasajiliwa, unauza hisa, unapatiwa mtaji!.
Mkuu Ndachuwa, kweli Watanzania ni masikini sana wa mawazo, ndio maana kila uchao, wazungu wanakuja kujivunia mihela na kuhamishia kwao!.Utatajirika bila biashara uliyowekeza kufanya vizuri? Faida kwenye hisa (i) Mgawo wa faida (dividend) (ii) Kuongezeka kwa thamani ya hisa (increase in intrinsic value) kwa kuangalia ufanisi wa mbeleni