rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
Mimi nilinunua hisa za Twiga Cement kwa Tshs. 435 kwa kila hisa kabla ya kuingizwa DSE. Kwa sasa hisa moja ni Tshs. 1,960.
Tatizo ni kuwa hisa walizokuwa wanauza zilikuwa kidogo kuliko demand hivyo watu wote tulirudishiwa pesa zetu na kupewa only around 40 % ya hisa ulizotolea pesa. Gawiwo huwa linabadilika kila mwaka kutokana na maamuzi ya wakubwa na faida iliyopatikana.
Hakuna constant gawio kwa kila mwaka.
Tatizo ni kuwa hisa walizokuwa wanauza zilikuwa kidogo kuliko demand hivyo watu wote tulirudishiwa pesa zetu na kupewa only around 40 % ya hisa ulizotolea pesa. Gawiwo huwa linabadilika kila mwaka kutokana na maamuzi ya wakubwa na faida iliyopatikana.
Hakuna constant gawio kwa kila mwaka.