Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
ajira imekuwa ngumu sana!
ukimuuliza mzee mzaliwa wa miaka ya 1950 ALIYESOMA atakwambia alipomaliza 'middle-school'alikuta jina lake limetoka kwenye ajira katika wizara tatu tofauti..................na blah blah nyingine nyingi.
ZAMA HIZI ZA SAYANSI NA TECHNOLOJIA:ajira zimekuwa ngumu saaana.na kwakweli kupata kazi serikalini ni kama ndoto.wasomi wengi 'wamejishikiza' kwa wawekezaji na wajasiliamali binafsi kwenye fani tofauti ikiwa ni pamoja na ujenzi,biashara,uhasibu,na sehemu nyingine nyingi.
Ukiangalia kwa JICHO LA TATU,utagundua kwamba wawekezaji na wajasilliamali wenye asili ya ki-asia ndio WAMESHIKILIA SOKO LA AJIRA kwa kizazi hichi.
mfano:ukihudhuria tender opening ceremonies(iwe construction,cleaning,au yoyote unayoijua),kama kuna makampuni 15,basi 8 ni wachina,5 ni wahindi,moja ni waarabu,na moja ni mzawa
kwa uzoefu wangu,wajasiliamali hawa wanawaajili watu kwa mishahara midogo sana,unless anajua ataitumia cv yako kuombea kazi/miradi.lakin wengi wetu TUNAAJIRIWA kwa ujira mdogo sana(ukibahatika kuajiriwa).
kundi kubwa la watu(professionals na unprofessionals) HAWAAJILIWI KABISA.ni kama daily workers.
Naiangalia tanzania hii 'iliyobadilika sana kiuchumi' Baada ya miaka kumi itakuwaje?SIPATI PICHA KABISA
Sijui wadau mnaona taswira gani juu ya UZAO WETU SISI,hasa ukizingatia kwamba tunataabika sana kwa sasa
karibuni......................
ukimuuliza mzee mzaliwa wa miaka ya 1950 ALIYESOMA atakwambia alipomaliza 'middle-school'alikuta jina lake limetoka kwenye ajira katika wizara tatu tofauti..................na blah blah nyingine nyingi.
ZAMA HIZI ZA SAYANSI NA TECHNOLOJIA:ajira zimekuwa ngumu saaana.na kwakweli kupata kazi serikalini ni kama ndoto.wasomi wengi 'wamejishikiza' kwa wawekezaji na wajasiliamali binafsi kwenye fani tofauti ikiwa ni pamoja na ujenzi,biashara,uhasibu,na sehemu nyingine nyingi.
Ukiangalia kwa JICHO LA TATU,utagundua kwamba wawekezaji na wajasilliamali wenye asili ya ki-asia ndio WAMESHIKILIA SOKO LA AJIRA kwa kizazi hichi.
mfano:ukihudhuria tender opening ceremonies(iwe construction,cleaning,au yoyote unayoijua),kama kuna makampuni 15,basi 8 ni wachina,5 ni wahindi,moja ni waarabu,na moja ni mzawa
kwa uzoefu wangu,wajasiliamali hawa wanawaajili watu kwa mishahara midogo sana,unless anajua ataitumia cv yako kuombea kazi/miradi.lakin wengi wetu TUNAAJIRIWA kwa ujira mdogo sana(ukibahatika kuajiriwa).
kundi kubwa la watu(professionals na unprofessionals) HAWAAJILIWI KABISA.ni kama daily workers.
Naiangalia tanzania hii 'iliyobadilika sana kiuchumi' Baada ya miaka kumi itakuwaje?SIPATI PICHA KABISA
Sijui wadau mnaona taswira gani juu ya UZAO WETU SISI,hasa ukizingatia kwamba tunataabika sana kwa sasa
karibuni......................