Tanzania: Leteni mastaa wa soka wainue soka letu
Big Dady
5th February 2010, 08:28 PM
Baadhi ya nchi zimewahi kutumia wachezaji wa kigeni kuinua soka lao. Nina mifano ya Pele wa Brazili, aliwahi kucheza mpira Marekani wakati anaelekea kustaafu, lengo la nchi hiyo ilikuwa ni kuleta chachu na hamasa kwa wachezaji wa ndani ili kuupenda zaidi mpira. Na kweli hiyo ilisaidia sana kuinua kiwango cha mpira Marekani, nchi inayotamba zaidi kwa mchezo wa basketball.
Wajapani waliwahi kumwajiri Zito kwa lengo hilo hilo. Hapa nyumbani mfano ni timu ya majimaji ambayo iliwahi kumwajiri Abdala Kibadeni, na kweli hali ya mpira kwa timu ilipanda sana kiasi cha kuwa tishio nchi nzima.
Sasa kwa nini nchi yetu isiige mbinu hizo kwa kuwaleta wachezaji wakongwe na waliowahi kutisha kwa soka hapa Afrika kama vile Austin 'Jay Jay' Okocha, Daniel Amokachi, Lukas Radebe, Kalusha Bwalya, n.k. ili kuongeza hamasa kwa wachezaji wetu. Niliwataja hapo juu labda wameshastaafu kabisa, lakini naamini wapo wengine wa aina yao wanaoweza kuleta hamasa kwa wachezaji wetu.
Tutaendelea kwa WASHANGILIAJI WA KIMATAIFA hadi lini. Maana wakati nchi za wenzetu wanajiandaa kupambana kwenye Kombe la Dunia, sisi tunajinadaa kuwa WASHANGILIAJI WA KIMATAIFA. HII HALI HADI LINI?
Last edited by Big Dady; Today at 09:56 AM..
Big Dady
Member
Join Date: Tue Nov 2009
Posts: 12
Thanks: 0
Thanked 11 Times in 6 Posts
Report Post
Subscription
Add to Big Dady's Reputation
Views: 45
Big Dady
Baadhi ya nchi zimewahi kutumia wachezaji wa kigeni kuinua soka lao. Nina mifano ya Pele wa Brazili, aliwahi kucheza mpira Marekani wakati anaelekea kustaafu, lengo la nchi hiyo ilikuwa ni kuleta chachu na hamasa kwa wachezaji wa ndani ili kuupenda zaidi mpira. Na kweli hiyo ilisaidia sana kuinua kiwango cha mpira Marekani, nchi inayotamba zaidi kwa mchezo wa basketball.
Wajapani waliwahi kumwajiri Zito kwa lengo hilo hilo. Hapa nyumbani mfano ni timu ya majimaji ambayo iliwahi kumwajiri Abdala Kibadeni, na kweli hali ya mpira kwa timu ilipanda sana kiasi cha kuwa tishio nchi nzima.
Sasa kwa nini nchi yetu isiige mbinu hizo kwa kuwaleta wachezaji wakongwe na waliowahi kutisha kwa soka hapa Afrika kama vile Austin 'Jay Jay' Okocha, Daniel Amokachi, Lukas Radebe, Kalusha Bwalya, n.k. ili kuongeza hamasa kwa wachezaji wetu. Niliwataja hapo juu labda wameshastaafu kabisa, lakini naamini wapo wengine wa aina yao wanaoweza kuleta hamasa kwa wachezaji wetu.
Tutaendelea kwa WASHANGILIAJI WA KIMATAIFA hadi lini. Maana wakati nchi za wenzetu wanajiandaa kupambana kwenye Kombe la Dunia, sisi tunajinadaa kuwa WASHANGILIAJI WA KIMATAIFA. HII HALI HADI LINI?
Last edited by Big Dady; Today at 09:56 AM..
Big Dady
Member
Posts: 12
Thanks: 0
Thanked 11 Times in 6 Posts
Views: 45