TFF watakuwa wamekusikia mkuu!Wadau nimeona jana kipindi fulani hivi kwenye capital tv, wenzetu ghana wana kitu km hii coca cola cup, wanasaka vipaji. zile mechi zinaoneshwa live nchi nzima na watu wanawapigia kura wachezaji kupitia simu zao za mkononi, wachezaji wanachujwa mpaka wanabaki 14 tu, hawa wanaingia kwenye academy na ni ya mtu binafsi, kwa kweli kwa mtindo huu ndo maana wenzetu wanaendelea kwenye soka