Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Mpaka usawa huu bingwa yeyote atakayepatikana(kati ya Simba na Azam) kwa mtazamo wangu atakuwa hajapatikana kwa haki,ni miapango tu tena ya nje ya uwanja.
Wakati kina Mwasyika walipomtandika ngumi Israel Nkongo,wapenda soka wote tulikilaani kitendo kile kwakuwa si tu hakikuwa cha kiungwana bali pia kilikuwa kimetia doa kubwa sekta ya michezo hapa Tz,mengi yalisemwa na hatua kali zilichukuliwa tena tukianzia na wale waliokuwa hata hawastahili kuchukua hatua(kamati ya ligi) lakini hakuna Mtanzania yeyote aliyethubutu kujiuliza ni nini kilichowapata Yanga mpaka kuamua kurusha ngumi, kama kufungwa ile haikuwa mechi ya kwanza Yanga kufungwa,walishafungwa mechi kadhaa na hawakupiga mtu,kwa yeyote anaeyeiruhusu akili yake kutafakari kwa kina basi anapaswa atambue kuwa kulikuwa na tatizo tena la wazi kabisa.
Bahati mbaya sana tukianzia na vurugu za mechi ya Yanga na Azam,refferee ambaye ndo alikuwa chanzo cha tatizo hajafanyiwa kazi kabisa,hakuna hatua zozote zilizochukuliwa na Wahusika TFF au FRAT,thanks to kina Mwasyika walioamu kumchukulia hatua palepale uwanjani, baada ya mechi ile Azam wakapiga mechi nyingine (nimeisahau kidogo) mchezaji wa team pinzani iliyokuwa inacheza na Azam kama kawaida akapigwa red card na maamuzi mengine mengi ya utata Azam wakaibuka na ushindi,team pinzani ikalalamika na kuishia zake,mechi iliyofuata Azam ikasafiri mpaka Dodoma kukipiga na Polisi,kama kawaida maamuzi ya utata yakawapa Azam ushindi wa goli 1 la dakika za mwishoni kabisa,Jamaa wakasubiri kipyenga cha mwisho wakamtandika vizuri refferee,jana sasa Mtibwa akawa mgeni wa Azam pale Chamazi ngoma imepigwa mpk dakika za mwishoni kabisa maaamuzi mengi ya utata ikiwemo la goli 1 la wazi la Mtibwa kukataliwa yalikuwa yanafanywa na refferee,Mtibwa wakilalamika kila wakati lkn wakiendelea kukomaa,mpira ukiendelea ukingoni kabisa huku matokeo yakiwa bado ni 1-1 refferee akiwatafutia ushindi Azam akawapa penalt ya dk 87,Mtibwa wakaona that too much,punch 2,3 zikabadilishwa na kufuatiwa na Mtibwa kugoma kuendelea na mchezo,mpira ukavunjika,definately Azam watapewa ushindi wa mezani wa point 3 na magoli yao ma'3...yote haya yanatokea katika mechi zinazohusisha Azam,wahusika wanshindwa kujiuliza kuna nini wakafanya uchunguzi na kuchukua hatua,sijui wanasubiri nini au wanasubiri siku atakayekufa refa m'1 ndo wajue kuwa kuna hatari sana kuacha wenye pesa wakitengeneza matokeo ya ushindi kwa njia zisizo halali?
Naomba kuwasilisha.
Wakati kina Mwasyika walipomtandika ngumi Israel Nkongo,wapenda soka wote tulikilaani kitendo kile kwakuwa si tu hakikuwa cha kiungwana bali pia kilikuwa kimetia doa kubwa sekta ya michezo hapa Tz,mengi yalisemwa na hatua kali zilichukuliwa tena tukianzia na wale waliokuwa hata hawastahili kuchukua hatua(kamati ya ligi) lakini hakuna Mtanzania yeyote aliyethubutu kujiuliza ni nini kilichowapata Yanga mpaka kuamua kurusha ngumi, kama kufungwa ile haikuwa mechi ya kwanza Yanga kufungwa,walishafungwa mechi kadhaa na hawakupiga mtu,kwa yeyote anaeyeiruhusu akili yake kutafakari kwa kina basi anapaswa atambue kuwa kulikuwa na tatizo tena la wazi kabisa.
Bahati mbaya sana tukianzia na vurugu za mechi ya Yanga na Azam,refferee ambaye ndo alikuwa chanzo cha tatizo hajafanyiwa kazi kabisa,hakuna hatua zozote zilizochukuliwa na Wahusika TFF au FRAT,thanks to kina Mwasyika walioamu kumchukulia hatua palepale uwanjani, baada ya mechi ile Azam wakapiga mechi nyingine (nimeisahau kidogo) mchezaji wa team pinzani iliyokuwa inacheza na Azam kama kawaida akapigwa red card na maamuzi mengine mengi ya utata Azam wakaibuka na ushindi,team pinzani ikalalamika na kuishia zake,mechi iliyofuata Azam ikasafiri mpaka Dodoma kukipiga na Polisi,kama kawaida maamuzi ya utata yakawapa Azam ushindi wa goli 1 la dakika za mwishoni kabisa,Jamaa wakasubiri kipyenga cha mwisho wakamtandika vizuri refferee,jana sasa Mtibwa akawa mgeni wa Azam pale Chamazi ngoma imepigwa mpk dakika za mwishoni kabisa maaamuzi mengi ya utata ikiwemo la goli 1 la wazi la Mtibwa kukataliwa yalikuwa yanafanywa na refferee,Mtibwa wakilalamika kila wakati lkn wakiendelea kukomaa,mpira ukiendelea ukingoni kabisa huku matokeo yakiwa bado ni 1-1 refferee akiwatafutia ushindi Azam akawapa penalt ya dk 87,Mtibwa wakaona that too much,punch 2,3 zikabadilishwa na kufuatiwa na Mtibwa kugoma kuendelea na mchezo,mpira ukavunjika,definately Azam watapewa ushindi wa mezani wa point 3 na magoli yao ma'3...yote haya yanatokea katika mechi zinazohusisha Azam,wahusika wanshindwa kujiuliza kuna nini wakafanya uchunguzi na kuchukua hatua,sijui wanasubiri nini au wanasubiri siku atakayekufa refa m'1 ndo wajue kuwa kuna hatari sana kuacha wenye pesa wakitengeneza matokeo ya ushindi kwa njia zisizo halali?
Naomba kuwasilisha.