Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 30,714 39,795 May 11, 2012 #2 hujaeka vizuri swali ku operate kivipi unataka kuplay mafile ya simu kwenye pc au simu iwe detected kwenye pc sjaelewa
hujaeka vizuri swali ku operate kivipi unataka kuplay mafile ya simu kwenye pc au simu iwe detected kwenye pc sjaelewa
Parata JF-Expert Member Jul 26, 2011 3,090 675 May 11, 2012 Thread starter #4 yaani nikiweka line kwenye modem niwe na uwezo wa kupiga na kupokea simu
Parata JF-Expert Member Jul 26, 2011 3,090 675 May 11, 2012 Thread starter #5 chief-mkwawa said: hujaeka vizuri swali ku operate kivipi unataka kuplay mafile ya simu kwenye pc au simu iwe detected kwenye pc sjaelewa Click to expand... niwe na uwezo wa kupiga na kupokea simu nikiweka line kwenye pc mjomba
chief-mkwawa said: hujaeka vizuri swali ku operate kivipi unataka kuplay mafile ya simu kwenye pc au simu iwe detected kwenye pc sjaelewa Click to expand... niwe na uwezo wa kupiga na kupokea simu nikiweka line kwenye pc mjomba
brainiac89 Member Dec 3, 2011 35 29 May 11, 2012 #6 weka line kwny modem thn ununue headphones zenye nyaya mbili moja ya kwny mic moja ya kwny speaker thn piga simu! Nadhn ndo ulimaanisha hvyo!
weka line kwny modem thn ununue headphones zenye nyaya mbili moja ya kwny mic moja ya kwny speaker thn piga simu! Nadhn ndo ulimaanisha hvyo!
Parata JF-Expert Member Jul 26, 2011 3,090 675 May 11, 2012 Thread starter #7 brainiac89 said: weka line kwny modem thn ununue headphones zenye nyaya mbili moja ya kwny mic moja ya kwny speaker thn piga simu! Nadhn ndo ulimaanisha hvyo! Click to expand... mbona hiyo ipo ila aifanyi kazi au kuna software yake
brainiac89 said: weka line kwny modem thn ununue headphones zenye nyaya mbili moja ya kwny mic moja ya kwny speaker thn piga simu! Nadhn ndo ulimaanisha hvyo! Click to expand... mbona hiyo ipo ila aifanyi kazi au kuna software yake
Parata JF-Expert Member Jul 26, 2011 3,090 675 May 11, 2012 Thread starter #10 BinMgen said: sema simu aina gani basi? Click to expand... simu ya nokia kaka