jakaya mrisho kikwetetuendelee kuwahesabu wale walioonekana kutetea mafisadi na sasa wanajionesha wamepata "ufunuo"
- chiligati
- makamba
- sofia simba
-
tuendelee kuwahesabu wale walioonekana kutetea mafisadi na sasa wanajionesha wamepata "ufunuo"
- Chiligati
- Makamba
- Sofia Simba
-
Kwahiyo wakimwendea na bilioni mbili na kuendelea anaachia???
yaani huyu mi ndo ananichekesha kweli kweli.Huyu si ndo mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa CCM huyu...nadhani kasahau kuwa alifanya ufisadi wa kutisha wakati wa kampeni zake za kuutaka huo uenyekiti wa UWT CCM
Kweli, maana tunayoyasikia sasa, yanatoa mrengo mpya wa mamboinawezekana neno ufisadi limepata maana mpya.....
Ndo maana yake!
Na Kwa uthibitisho, rejea jinsi mama huyu asiye na haya alivyowatesa wenzake kwa rushwa wakati wa uchaguzi wa UWT, hadi ikafikia hatua Ritha Mlaki akajitoa ktk uchaguzi huo na kupeleka malalamiko kwenye ngazi za juu za chama.
Huyu waziri hawezi kusimamia utawala bora ilhali yeye mwenyewe si MTAWALA BORA! Hili haliwezekani.
It is sooooooooooooooo funny............
watu wameona kusema wanapinga ufisadi ndio gia ya kuingilia
UCHAGUZI FEKI = RAIS FEKI + MAWAZIRI FEKI + WABUNGE FEKI + MAJAJI FEKI + MAJESHI FEKI + MABENKI FEKI + KILIMO FEKI + UVUVI FEKI + UFUGAJI FEKI + SEKTA YA MADINI FEKI + MIPANGO FEKI + VIWANDA FEKI + MASHIRIKA FEKI + VYUO FEKI + HOSPITALI FEKI + MIUNDO MBINU FEKI + MAKANISA FEKI + MISIKITI FEKI + WAUMINI FEKI + WANANCHI FEKI + FIKRA FEKI + MISHAHARA FEKI gggggrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!! FEKI FEKI FEKI FEKI FEKI FEKI FEKI FEKI FEKI FEKI .............. SITAKI KUSIKIA TENA ... KAMWE! KUTOKA KWA HAWA WAZEE FEKI WASIO NA UWEZO WA KUFIKIRI UREFU WA PUA YAO...
ndugu umenichekesha kwa hiyo serikari yetu ime -Corrupt