PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
WanaJF nambieni,
Kuna makatazo gani yaliyobaki kwa sasa kwenye suala la tendo la ndoa?
Mi binafsi naona kama vile taboos zote zimeshakuwa crossed, na watu wanajiendea tu, kama kondoo wasio na mchungaji!
Yale makatazo(donts) ya zamani yamevunjwa na kutupwa, tendo la ndoa limekuwa ni mchezo wa dimbadimba katika jamii!
Kwasasa, kama msichana yuko kwenye siku zake anatumika kawaida tu na wanaume, aidha kwa kugeuzwa, au kwa namna zingine!!
Wanawake wanameza kabisa zile ndudu zinazotolewa na mwanaume kama uji wa soya!, lol!
Wiki hili nimeshuhudia mtoto wa kiume wa miaka 16 hapa Mount Meru hospital akiwa form two, ambaye alianza kufanyiwa vibaya makalioni miaka miwili iliyopita, na hakusema chochote wala kuripoti kwa mtu kabisa, hadi alipopata matatizo mengine ndipo yalipelekea agunduliwe kuwa ana mchezo huo!
Hivi ni mimi binafsi ndo nimepitwa na wakati kiasi hicho?
Ni nani atakayetusaidia kurudisha hadhi ya zamani ya tendo hili, ambapo lilikuwa la uwoga mno, na liliheshimika?
Au ndo twaingojea Sodoma na Gomora? Michango yenu wakuu!
Kuna makatazo gani yaliyobaki kwa sasa kwenye suala la tendo la ndoa?
Mi binafsi naona kama vile taboos zote zimeshakuwa crossed, na watu wanajiendea tu, kama kondoo wasio na mchungaji!
Yale makatazo(donts) ya zamani yamevunjwa na kutupwa, tendo la ndoa limekuwa ni mchezo wa dimbadimba katika jamii!
Kwasasa, kama msichana yuko kwenye siku zake anatumika kawaida tu na wanaume, aidha kwa kugeuzwa, au kwa namna zingine!!
Wanawake wanameza kabisa zile ndudu zinazotolewa na mwanaume kama uji wa soya!, lol!
Wiki hili nimeshuhudia mtoto wa kiume wa miaka 16 hapa Mount Meru hospital akiwa form two, ambaye alianza kufanyiwa vibaya makalioni miaka miwili iliyopita, na hakusema chochote wala kuripoti kwa mtu kabisa, hadi alipopata matatizo mengine ndipo yalipelekea agunduliwe kuwa ana mchezo huo!
Hivi ni mimi binafsi ndo nimepitwa na wakati kiasi hicho?
Ni nani atakayetusaidia kurudisha hadhi ya zamani ya tendo hili, ambapo lilikuwa la uwoga mno, na liliheshimika?
Au ndo twaingojea Sodoma na Gomora? Michango yenu wakuu!