Sodoma Hii Hapa...!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,724
WanaJF nambieni,

Kuna makatazo gani yaliyobaki kwa sasa kwenye suala la tendo la ndoa?

Mi binafsi naona kama vile taboos zote zimeshakuwa crossed, na watu wanajiendea tu, kama kondoo wasio na mchungaji!

Yale makatazo(donts) ya zamani yamevunjwa na kutupwa, tendo la ndoa limekuwa ni mchezo wa dimbadimba katika jamii!

Kwasasa, kama msichana yuko kwenye siku zake anatumika kawaida tu na wanaume, aidha kwa kugeuzwa, au kwa namna zingine!!

Wanawake wanameza kabisa zile ndudu zinazotolewa na mwanaume kama uji wa soya!, lol!

Wiki hili nimeshuhudia mtoto wa kiume wa miaka 16 hapa Mount Meru hospital akiwa form two, ambaye alianza kufanyiwa vibaya makalioni miaka miwili iliyopita, na hakusema chochote wala kuripoti kwa mtu kabisa, hadi alipopata matatizo mengine ndipo yalipelekea agunduliwe kuwa ana mchezo huo!

Hivi ni mimi binafsi ndo nimepitwa na wakati kiasi hicho?

Ni nani atakayetusaidia kurudisha hadhi ya zamani ya tendo hili, ambapo lilikuwa la uwoga mno, na liliheshimika?

Au ndo twaingojea Sodoma na Gomora? Michango yenu wakuu!
 
Habari za Ar. Ndio dalili haswa. Na Dar ndio usiombe . Ni aibu tupu.
 
Wanawake wanameza kabisa zile ndudu zinazotolewa na mwanaume kama uji wa soya!, lol!

hivi zile ndude zikimezwa kama uji haziwezi leta madhara ndani kwa ndani?
 
WanaJF nambieni,

Kuna makatazo gani yaliyobaki kwa sasa kwenye suala la tendo la ndoa?

Mi binafsi naona kama vile taboos zote zimeshakuwa crossed, na watu wanajiendea tu, kama kondoo wasio na mchungaji!

Yale makatazo(donts) ya zamani yamevunjwa na kutupwa, tendo la ndoa limekuwa ni mchezo wa dimbadimba katika jamii!

Kwasasa, kama msichana yuko kwenye siku zake anatumika kawaida tu na wanaume, aidha kwa kugeuzwa, au kwa namna zingine!!

Wanawake wanameza kabisa zile ndudu zinazotolewa na mwanaume kama uji wa soya!, lol!

Wiki hili nimeshuhudia mtoto wa kiume wa miaka 16 hapa Mount Meru hospital akiwa form two, ambaye alianza kufanyiwa vibaya makalioni miaka miwili iliyopita, na hakusema chochote wala kuripoti kwa mtu kabisa, hadi alipopata matatizo mengine ndipo yalipelekea agunduliwe kuwa ana mchezo huo!

Hivi ni mimi binafsi ndo nimepitwa na wakati kiasi hicho?

Ni nani atakayetusaidia kurudisha hadhi ya zamani ya tendo hili, ambapo lilikuwa la uwoga mno, na liliheshimika?

Au ndo twaingojea Sodoma na Gomora? Michango yenu wakuu!

siyo hayo tu siku hizi mdada kuka na kukuonyesha sehemu zake za ndani siyo aibu tena ni uzungu .hata under skirt hawavai ni aibu bora mimi nijikalie hukuhuku kijijini ambako sijifunzi wayafanyao wenzangu wa mjini,

hata shanga siku hizi zipo hazarani kana kwamba hakuna wazazi nyumbani.

kunyonyana ndimi imekuwa kama kunywa maji kwa kweli yesu rudi okoa kizazi hiki kimekwisha
 
Yote haya ni matokeo ya kuabudu anasa za dunia. Mtu anavumbua kila njia ya kuweza kujipatia starehe kwa kiwango cha juu kiwezekanacho bila kujali maadili wala nini.
 
uliza waliomeza je zinaweletea madhara?nasikia zina ladha ya chumvichumvi?ni kweli shemu???????aibuuuuuuuuuuuu

Chaku,
Kama umeamua kukaa kijijini achana kabisa hata kuulizia ladha yake... !

Ni michezo mibovu sana ya kuiga kila jambo.

Mi najiuliza kila siku hivi wanangu niwafungie kwenye geti gani wasione uharamu huu huko mabarabarani!
 
siyo hayo tu siku hizi mdada kuka na kukuonyesha sehemu zake za ndani siyo aibu tena ni uzungu .hata under skirt hawavai ni aibu bora mimi nijikalie hukuhuku kijijini ambako sijifunzi wayafanyao wenzangu wa mjini,

hata shanga siku hizi zipo hazarani kana kwamba hakuna wazazi nyumbani.

kunyonyana ndimi imekuwa kama kunywa maji kwa kweli yesu rudi okoa kizazi hiki kimekwisha
kwa jinsi watu walivopagawa YESU akirudi anaweza kuzimia kwa mstuko
 
Ndi enzi za utandawazi na MTV, 24/7 generation! Hizi reality TV kama big brother zimeuwa kabisa maadili ya kiafrika na kukaribisha maadili ya nchi za magharibi, vijana wa leo wanaiga kila kitu wanachokiona kwenye TV.
Cha kutisha zaidi ni kwamba hawa wetu ambao wanaiga wanazidi mpaka. Utakuta Beyonce kaigiza kwenye music video akiwa na kachupi tu, lakini sio kwamba eti anatembea vile ukimkuta mitaani, sasa kasichana cha kibongo kitanunua hako kachupi anatinga nacho mitaani kabisaa, tena mchana? mwenyewe anajiona fashionista!
 
nashauri binadamu tusivae nguo,itatusumbua mwanzo but tutazoeana hope hata ngoma itatulia,maadili tutayaona, so atokee mwanamapinduzi mmoja ageuze ulimwengu na kuabandon tendo la kuvaa nguo!! pata picha unakatiza kariakoo!! teheee
 
Habari za Ar. Ndio dalili haswa. Na Dar ndio usiombe . Ni aibu tupu.

Ar bomba mbaya mt2wangu. Si unajua mahali panaitwa `KwaMrombo, kuna mbuzi wa kuchoma wa hatari!

Kasoro madude kama hayo nilioyaandika hapo juu ndo yanapagawisha.
 
uliza waliomeza je zinaweletea madhara?nasikia zina ladha ya chumvichumvi?ni kweli shemu???????aibuuuuuuuuuuuu


kwani zikienda sehem hucka zinaleta madhara?.....kama sio bac jibu lipo wazi.
 
Ar bomba mbaya mt2wangu. Si unajua mahali panaitwa `KwaMrombo, kuna mbuzi wa kuchoma wa hatari!

Kasoro madude kama hayo nilioyaandika hapo juu ndo yanapagawisha.


hiyo place ni ya kiukweli....huwa cmic nikiwa home.....kila jmoc kunanihusu! afadhali cku hizi wamejenga vizuri kidogo pamefanya hata pameeleweka sasa....mana yale mabanzi yalikuwa noma....khaaa...
 
WanaJF nambieni,

Kuna makatazo gani yaliyobaki kwa sasa kwenye suala la tendo la ndoa?

Mi binafsi naona kama vile taboos zote zimeshakuwa crossed, na watu wanajiendea tu, kama kondoo wasio na mchungaji!

Yale makatazo(donts) ya zamani yamevunjwa na kutupwa, tendo la ndoa limekuwa ni mchezo wa dimbadimba katika jamii!

Kwasasa, kama msichana yuko kwenye siku zake anatumika kawaida tu na wanaume, aidha kwa kugeuzwa, au kwa namna zingine!!

Wanawake wanameza kabisa zile ndudu zinazotolewa na mwanaume kama uji wa soya!, lol!

Wiki hili nimeshuhudia mtoto wa kiume wa miaka 16 hapa Mount Meru hospital akiwa form two, ambaye alianza kufanyiwa vibaya makalioni miaka miwili iliyopita, na hakusema chochote wala kuripoti kwa mtu kabisa, hadi alipopata matatizo mengine ndipo yalipelekea agunduliwe kuwa ana mchezo huo!

Hivi ni mimi binafsi ndo nimepitwa na wakati kiasi hicho?

Ni nani atakayetusaidia kurudisha hadhi ya zamani ya tendo hili, ambapo lilikuwa la uwoga mno, na liliheshimika?

Au ndo twaingojea Sodoma na Gomora? Michango yenu wakuu!
SI ANAFUATWA YESU HAYA YAMO MAKANISANI

welcome.jpg


We are lambs before the Lord, and every Sunday we give thanks to Him with all of our body and soul. And it includes the sacrifice of our garments, for it was when Eve ate from the Tree of Life and gathered fig leaves that mankind fell into sin.

We are not naturists, for the Lord looks down on hedonistic, recreational lifestyles. But in the House of God, we kneel with the most devoted kind of humility and faith. If you have worshipped elsewhere in Texas, we promise that our congregation will inspire you. Come and worship with us!

I am excited about our special group of believers. Contact our ministerial staff today to see how we can help you. Blessings!


- Mark Johnson, Pastor



"Who told thee that thou wast naked? Hast thou eaten of the tree, whereof I commanded thee that thou shouldest not eat?"
Genesis 3:11​

"Whoever does not welcome the kingdom of God like a little child will certainly not enter it."
Mark 10:16​
 
SI ANAFUATWA YESU HAYA YAMO MAKANISANI

welcome.jpg


We are lambs before the Lord, and every Sunday we give thanks to Him with all of our body and soul. And it includes the sacrifice of our garments, for it was when Eve ate from the Tree of Life and gathered fig leaves that mankind fell into sin.

We are not naturists, for the Lord looks down on hedonistic, recreational lifestyles. But in the House of God, we kneel with the most devoted kind of humility and faith. If you have worshipped elsewhere in Texas, we promise that our congregation will inspire you. Come and worship with us!

I am excited about our special group of believers. Contact our ministerial staff today to see how we can help you. Blessings!


- Mark Johnson, Pastor




"Who told thee that thou wast naked? Hast thou eaten of the tree, whereof I commanded thee that thou shouldest not eat?"
Genesis 3:11​



"Whoever does not welcome the kingdom of God like a little child will certainly not enter it."
Mark 10:16​



Copy and paste at its summit! lol!
 
Haya mambo ndio yanashamiri kwa kasi hivi sasa hasa huko mijini mnakoiga kila kitu
 
Back
Top Bottom