Bumpkin Billionare
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 1,332
- 621
Hivi Bumpkin Billionare
mbona una kiherehere sana
hivi wewe ni wa kike au kiume.
Nimeharibu dili lenu eeh!
Wa kiume. lkn nimeoa na nina watoto wawili wa kiume.
Enhe!
Hivi Bumpkin Billionare
mbona una kiherehere sana
hivi wewe ni wa kike au kiume.
Nimeharibu dili lenu eeh!
Wa kiume. lkn nimeoa na nina watoto wawili wa kiume.
Enhe!
Utaharibu vipi dili na mzigo upo.
Hivi na walioa wanakuwaga na mathusi
au wewe ndo wa kwanza wao.
Nimekufanya matusi saa ngapi hali hatujuani?
Wenye ndoa ndio wanaofanya matusi ndio, tena wana ruksa ya kufanya hivyo
Sema yote ukweli ni kuwa SODA ZA COCA COLA NI CHAFU.
Umetumwa huna lolote, na ndio maana una ID mbili za kufanyia kazi yako.
Mimi navyofahamu hii michezo ya kijinga haijaanza leo. Umekurupuka baada ya kupewa dili na wahindi kuleta uchafuzi kwenye biashara za watu. Mtu mwenye ushahidi si aupeleke TFDA. Nimewauliza jana mkibakwa mtakuja kujisemeshasemesha JF au mtaelekea kwenye dola?
Error kwenye maisha ya watuuuuu!!!!!b! Siwezi poteza muda kuwawajibisha mlolongo wake ni mrefu na pia rushwa itachukua mkondo wake tz ni zaidi ya unavyoijua!!
Nilijua najibishana na mtu mwenye akili timamu,
kumbe ni ki ch aa.
Nimeshakuta Kidole cha binadamu.
Labda nikuulize kwa namna nyingine Miss. JF Premium Member.
Mbuzi wa jirani yako wakiingia shambani kwako na kusababisha uharibifu wa mazao, unaona ni lipi sahihi la kufanya:
1. Kuwawajibisha mbuzi kwa kuwakata miguu
2. Kumwajibisha mchunga mbuzi kwa kumripoti kwa mwenye mbuzi ambaye bila shaka atamfukuza kazi
3. Kutofanya A wala B badala yake kupita mitaani kuhubiri kwa watu kuwa mbuzi ni wabaya?
Natamani mmoja wa waliopata bahati mbaya ya kukutana na uchafu angefikisha jambo hili TBS na TFDA ili wazembe wachache wenye kusababisha yote haya wafukuzwe na waajiriwe wengine waaminifu kwa kazi yao. Kwa kufanya hivi, Coca Cola itaendelea kuboreka, afya zetu zitakuwa salama na ndugu zetu wanaopata riziki zao kwa kufanya kazi pale nao wataendelea na ajira zao.
Narudia tena, sidhani kama ni lengo la mwekezaji ni kuzalisha product chafu. Hii ni incompetence ya watanzania wenzetu waliopata nafasi ya kuajiriwa hapo.
Chuki dhidi ya SODA ni ujuha, tuelekeze chuki zetu kwa mzembe anayesababisha hali hii. Naamini waajiri (wawekezaji) linawaumiza zaidi ya mnavyofikiri, ndio maana wanaatempt kutufukuza kazi mara kadhaa lkn sheria zetu mbovu zinatulinda na kutufanya tuwe wazembe zaidi kazini.
Am not arguing with you; am TELLING YOU, Period!
am TELLING YOU
heri miye yangu maji>maziwa frsh>mtnd> juic acl vngne nshapga teke hata unbembeleze vp labda uwe umenzd umr nta2mia kwa heshma yako... Am out