soda hii ni hatari kwa maisha yetu

Jamani hivi bado mnakunywaga soda? Binafsi nilishasahau ladha ya soda ikoje
Poleni mliokutwa na masaibu ya soda
 
kwa kuwa leo nipo kwenye computer oneni vitu mnavyokunywa

View attachment 47260

attachment.php


View attachment 47261


View attachment 47261
Kuna jamaa hapa kasema kuwa mmetumwa kuharibu biashara za watu sasa sijui ameona hizi picha hapa??????

 
Mtume nilidhani ni kampuni ya pepsi ndo tunakumbana nazo mara kibao kumbe na koka wamo ilobaki tuhamie kwenye hizi za take away. Mountain due ndo unakuta mirangi humo ndani cjui hnatoka wapi
 
Wacha woga hiyo si kazi yako kuna watu kazi yao nihiyo ya Law, wape Lawyers kesi wapambane na hicho kiwanda siku nyingine watakuwa na adabu!!!Wanaweza kuamua msolve hii issue out of court kwa maana itawaaribia biashara!!!!


Kwa uzoefu wangu na tanzania namshauri suala la mahakaman aachane nalo hawezi shinda manake nahuakika hamna haki itakayotendeka nchi imeshauzwa,tena kesi inaweza kumgeuka vibaya agaragazwe ajikute ndiye yeye anayeshtakiwa.Dawa ni kuwapigia kelele kama hivi.
 
Kuna jamaa hapa kasema kuwa mmetumwa kuharibu biashara za watu sasa sijui ameona hizi picha hapa??????


Kwa ukweli hawa watu ni wa kushtaki,
nikipata kiwanda cha kuwauzia soda yangu
nauza hata kama ni cha ulaya
kwanza koka wana dharau sana.
 
Kwa uzoefu wangu na tanzania namshauri suala la mahakaman aachane nalo hawezi shinda manake nahuakika hamna haki itakayotendeka nchi imeshauzwa,tena kesi inaweza kumgeuka vibaya agaragazwe ajikute ndiye yeye anayeshtakiwa.Dawa ni kuwapigia kelele kama hivi.

Je watu kama TFDA wanaweza kukibana hiki kiwanda?
 
Wacha woga bi mkubwa unaushaidi buruta mahakamani hao dai fidia unaweza chota pesa ya ukweli hapo.
Nimeshawahi kusikia visa km hivyo miaka ya nyuma lakini the bottom line ni kuwa wale waliofanikiwa kwenda hata TBC na mkemia mkuu waligundua kuwa vyupa vya soda hizo zilikuwa vimefunguliwa, kuingizwa huo uchafu na baadaye kufungwa tena, kwani vipimo vya maabara vilionyesha kuwa kiasi cha gesi katika vyupa hivyo ilikuwa pungufu kupita kiasi ikilinganishwa na chupa nyingine za soda zilizochukuliwa km specimen. na Hitimisho lake...ni vita vya kupakana matope ili kupata wateja, baina ya makampuni ya soda shindani.
 
Nimeshawahi kusikia visa km hivyo miaka ya nyuma lakini the bottom line ni kuwa wale waliofanikiwa kwenda hata TBC na mkemia mkuu waligundua kuwa vyupa vya soda hizo zilikuwa vimefunguliwa, kuingizwa huo uchafu na baadaye kufungwa tena, kwani vipimo vya maabara vilionyesha kuwa kiasi cha gesi katika vyupa hivyo ilikuwa pungufu kupita kiasi ikilinganishwa na chupa nyingine za soda zilizochukuliwa km specimen. na Hitimisho lake...ni vita vya kupakana matope ili kupata wateja, baina ya makampuni ya soda shindani.

Na kama kweli haujaifungua,
na kama kweli fanta inababuka rangi inakuwa kama juice ya limao,
acha tutapata makampuni shindani duniani tuwape hizo chupa waende nazo mbele.
 
We ndo wale wa kupenda kufunika kombe mwanaharamu apite ulitaka niipeleke cocacola ili tuyamalize kienyeji hapa JF ndo mtambo wa kurekebisha tabia za uzembe siendekezi njaa kama unahitaji tafuta soda iliyo na makondomu uipeleke kiwandani watakupa japo kreti na vijisenti vya kununulia bamia hapa JF ujumbe umewafikia na jamii nzima inapaswa kujihadhari wakati wa kunywa soda.JF idumu na kudumu vizabinazabina ndo mnaiwekea usiku,,,,n2twork search,.....

Kuna watu wa aina nyingi duniani. Baadhi ya watu huona kupiga kelele zisizo na msingi ilimradi tu watu wawasikie wakibwabwaja ndio tija. Mimi sikusema uipeleke Coca-Cola, nimesema ni vyema ukaipeleka TBS au TFDA. Nia ya kusema hivyo ni kwa wao kufuatilia kwa wenye kiwanda ambao naamini wangemtafuta aliyefanya uzembe huo.

Ukibakwa huko vichochoroni unakoishi utakuja hapa JF kutangaza au utaenda polisi kupresent kesi yako?

Acha ubishi wa kijinga. Hili ulilolifanya silikatai, ila ninachokwambia kuwa ni vyema ukaliripoti kwenye mamlaka zinazohusika. Anayefanya ujinga huu ni mtanzania mwenzetu mwenye akili kama zako za kufikiri kila jambo linafanywa kwa mdomo. Mwenye kiwanda sio nia yake, ni ujinga wa baadhi yetu. Je, unafikiri huyu kaburu angeruhusiwa kuleta wazungu wenzake wangefanya ujinga kama huu wa kulala huku chupa chafu zinapita? Hizi si tabia za hapa kwetu ambapo tukipewa kazi badala ya kufanya tupo JF tunaongea ujinga kama huu wako.

Hapa kwetu jitu moja jinga linaweza kufanya uzembe wa namna hiyo kwa kuwa linajua maximum penalt kwa kosa lake ni kuandikiwa onyo. Kwenye nchi zenye sera, anafukuzwa kazi na kufunguliwa mashtaka kwa kuhatarisha maisha ya watu. Na huku nje kumejazana majitu majitu majinga ya aina yako ambayo yanaamini yakibakwa yasiende polisi badala yake yaje hapa JF kuandika jinsi yalivyovuliwa nguo kwa nguvu na kubanduliwa.

Pamoja na ubongo wako mzito, nakukumbusha tena, MWENYE KAMPUNI HANA NIA YA KUSUPPLY MADUDU. Uonacho ni matokeo ya watu wa akili kama zako pamoja na sheria zinazomlinda mfanyakazi hata akifanya mambo yenye kuahatarisha mitaji ya watu.
 
Kuna jamaa hapa kasema kuwa mmetumwa kuharibu biashara za watu sasa sijui ameona hizi picha hapa??????


Kuamini picha hutegemea na mwisho wa akili yako kufanya kazi. Angalia picha hii halafu jiulize siku ikifiksiwa ya mkeo kwenye mwili unaoshabihiana na wa mkeo akiwa anabanduliwa ndio namna utakayochukua maamuzi kwa kuangalia picha.

tazama picha hii
View attachment 47426
Don't get twisted that much easily

Yaani kwa akili yako Great Thinker wewe huoni uwezekano wa mtu kufungua chupa, akaweka uchafu, akafunga na kuipiga picha na kisha kuileta hapa kwa ujira anaoupata toka kwa mpinzani wa Coca-Cola?

Hata mimi naanza kupata mashaka ndio maana hawataki kupeleka hii ishu TFDA. Wanajua hiyo soda ikipelekwa maabara wataumbuka. Wewe endelea kuamini picha, siku ikiwekwa yako hapa unabanduliwa usikane
 
Si tuu ni hatari tokana na kukosa usafi wa ukweli bali hivyo vinywaji vya jamii ya soda ni hatari na sumu kali. Ni vinywaji vya kuacha kutumia ili kupunguza magonjwa mengi yaliyo tuzunguka.
 
Mimi nawashangaa wanaosema soda zimefunguliwa zikawekwa uchafu,
hivi wana akili timamu kweli,
kwa maneno ya ukweli ni kuwa SODA ZA COCACOLA NI CHAFU na ni hatari kwa afya ya wanywaji,
hakuna mtu aliwefungua soda na kujaza uchafu,

Hapa kama kuna mtu mwenye e-mail ya kampuni ya cocacola huko majuu aiweke hapa
tuwawekee mapicha ya soda zao chafu ili wakafanyie promotion kwenye masoko ya ulaya, nyie vipi.

Mbona mnatia hasira sana nyie, na soda zenyewe bado tunazo, endeleeni kujisema sema ila
nitakuwa naleta hapa jf picha kila baada ya muda muweze kuona haya makansa
tunayobugia kutokana na vinywaji vichafu vya coca cola.
 
Mkuu kwa style yako ambayo unashawishi watu kwa kuona uzembe mkubwa hivyo kukaa kimya na kukimbilia kiwandani kuripoti mie naona haitoshi,alivyofanya huyu kuitangaza na kuipiga picha ni sawa kabisa.

Nyie kila siku mnatangaza product zenu kwenye tv mabango etc kuwa zina ubora kumbe mnakuwa wazembe mnaachia kondom na matakataka mengine ndani halafu mnafunga watanzania midomo wasitangaze,hiyo ni sawasawa na mgomo pale muhimbili watu wanakufa ovyo halafu unafunga mdomo watu,wanaharakati na waandishi kupigia kelele,huo ni uzembe wa hali ya juu kama zingekua nchi za wenzetu ni issue kubwa sana hiyo sio nyepesinyepesi kama ulivyoichukulia.

Suala lingine ambaloo umeliongelea hapo mie kwangu naona ni la kipumbavu,uzembe wa management yenu ya kusimamia wafanyakazi kwa makini kwa kufuata procedure zilizopo ndio utufumbe mdomo eti ni kutetea ajira ya watz wenzetu kwa hiyo tuendelee kunywa uchafu?Naomba sana usichukulie umasikini wetu sisi watanzania kama mtaji wa kutulisha uchafu eti tuogope kufukuzwa kazi.

Kwanza wewe utakua sio mtanzania kama ni mtz basi utakua ni kibaraka wa hao makaburu manake unaonekana unawalamba miguu sana mara oo tigo mzungu kilichobaki kwako ni kuwaabudu.

Jamani watanzania wenzangu nasema tunaweza tusijizaraulishe wala tusikubali kuzarauliwa na vibaraka wa wazungu.

Mie ni mpenzi mkubwa sana wa soda ya cocacola,Napenda kuchukua nafasi hii kuiomba serikali kupitia mashirika yake ya viwango kufanya suprise visit katika kiwanda hicho cha soda angalao twice a monthy ili kuweza kuthibitisha ubora wa vinywaji wanavyotengeneza.

Sitakulaumu kwa kuwa am not responsible for your thinking capacity. Mimi si mmiliki wala si mfanyakazi wa Coca-Cola, naomba usome taratibu na uelewe nilichomaanisha kabla hujasapoti jambo la kijinga la huyu mtoa mada.
1. Nilisema kuwa, si nia ya mfanyabiashara kusambaza bidhaa chafu kwa kuwa anajua mustakabali wa mtaji wake upo ktk ubora wa bidhaa anazouza kwa hiyo ni dhahiri hata yeye angefurahi kuona tatizo hilo linapata ufumbuzi. Je, kwa kusema hapa JF unasaidia nini ktk juhudi za kumbaini aliyesababisha uchafu kubaki ktk chupa?

2. Niliposema ajira, nilimaanisha hivi: Coca-Cola imeajiri zaidi ya watu 800 (mathalan), na kati ya hao wapo ambao wanafanya kazi zao kwa uaminifu mkubwa, lkn kwa bahati mbaya yupo mmoja au wawili wenye tabia hii ya uzembe. Nilichomaanisha mimi ni kuwa, kama itabakia tabia hi ya kipuuzi ya kupiga kelele bila kuchukua hatua, basi kitakachotokea ni kwamba watu wataacha kutumia bidhaa na hapo ajira za hata wale walio waaminifu napo zitakuwa mashakani. Cha muhimu kufanyika ni kufikisha jambo hili panapohusika ili uchunguzi ufanywe na aliyehusika achukuliwe hatua kwa kusababisha athari kwa afya za watu.

3. Nikukumbushe kuwa ni sheria za Tanzania ndio zinafanya mtu awe huru kufanya makosa na kuendelea kuwepo kazini. Ikiwa wewe leo umeona hili na unaacha kuchukua hatua badala yake unaanzisha mahubiri, lengo ni kumkomoa mwenye kiiwanda au kurekebisha jamii yetu? Hivi kweli huna akili hata kidogo kiasi uone kuwa si lengo la mwekezaji ila ni tabia zetu?

4. Unaposema unadhalilishwa kama Mtanzania, ina maana wewe ulitaka niseme kuwa kama Mlinzi ameacha geti wazi mali zikaibiwa hilo ni kosa la Managing Director kwa hiyo anatakiwa akomolewe au?

5. Upumbavu ni mzigo ndugu yangu. Wewe unaona mimi nawalamba miguu wazungu kwa kuwa tu nimehimiza watu wawajibike na kuwa waaminifu kwa mikataba yao. Unajua maana ya ajira? Au unafikiri kuna mwekezaji ambaye huwekeza kwa lengo la kukuajiri wewe na sio kupata faida?

Nimalizie kwa kukwambia kuwa mimi sio wa level yako ya kufikiri. Nimezingatia mambo haya kabla sijasema lolote juu ya hii mada:
1. Upo uwezekano yanayosemwa ni uzushi kwa lengo la kuharibu biashara za watu wengine. Kama kuna ukweli wa hili kwa nini kuna ugumu wa kulifikisha kwenye vyombo husika ili kiwanda kichukuliwe hatua? Wewe ukibakwa au kuibiwa, utaenda polisi au utakuja JF kubwabwaja?

2. Si mara ya kwanza kwa watu kufanyiana kampeni chafu kushindania soko. Kama kweli jambo hili ni dhahiri, nini kinawazuia waliokutana na mikasa hii wasiende kwenye dola?

3. Coca-Cola ni mwekezaji, anawekeza ili afanye biashara kwa hiyo msingi pekee wa kuwepo hapa ni biashara kwa hiyo sidhani kama management inaweza kuona posibility ya jambo kama hilo halafu ikae kimya.

Ubongo sifuri, lugha sifuri: Suprise visits, Angalau na Twice a month.

Na kumbe unajua kuwa kuna mashirika ya viwango sasa juu ya nini kesi kama hii isipelekwe huko badala ya kupiga kelele za kidemudemu hapa.
 
Mimi nawashangaa wanaosema soda zimefunguliwa zikawekwa uchafu,
hivi wana akili timamu kweli,
kwa maneno ya ukweli ni kuwa SODA ZA COCACOLA NI CHAFU na ni hatari kwa afya ya wanywaji,
hakuna mtu aliwefungua soda na kujaza uchafu,

Hapa kama kuna mtu mwenye e-mail ya kampuni ya cocacola huko majuu aiweke hapa
tuwawekee mapicha ya soda zao chafu ili wakafanyie promotion kwenye masoko ya ulaya, nyie vipi.

Mbona mnatia hasira sana nyie, na soda zenyewe bado tunazo, endeleeni kujisema sema ila
nitakuwa naleta hapa jf picha kila baada ya muda muweze kuona haya makansa
tunayobugia kutokana na vinywaji vichafu vya coca cola.

Nyie ndio vibaraka wa watu fulani mmetumwa kuchafua biashara za watu. Kama kuna ukweli mbona msifike kwenye vyombo husika? Nimewauliza mkibakwa mtakuja JF kubwabwaja au mtaenda polisi?

Unaona tunatia hasira kwa sababu unadhani watu wote ni wajinga wa kudanganywa na picha. Picha kitu gani, wewe nipostie picha yako uone kama baada ya wiki nitashindwa kukurudishia ukionekana unafanya mapenzi na mbwa.

Kamwambie aliyekutuma kuwa kuna wengine wajanja hatudanganywi kitoto. Na kama ni kweli acheni ******, nendeni mkaripoti. Kwanza mlivyo hamjui mipango, mnakurupuka wote kwa pamoja na picha zenu. Yaani unataka kuniambia kuwa mmoja katoa ya kwake leo lkn na wewe ulikuwa na yako siku nyingi umehifadhi
 
Siku moja utaletewa picha ya mumeo anabakwa

wewe ni mfuasi wa d cameroon
kila kitu kubakwa, kamwambie mkeo
hapa ni mbele kwa mbele tu
hiyo njaa yako ya kujikomba kwa makaburi itakuuwa,
alaa wewe vipi,
watu hatuogopi midomo inayonuka ugoro kama wa kwako
aliyekwambia tumetumwa ni nani, au ndo tabia yako,
peleka uhuni wako kwa wahuni wenzio. (samahani jf members)
 
Nyie ndio vibaraka wa watu fulani mmetumwa kuchafua biashara za watu. Kama kuna ukweli mbona msifike kwenye vyombo husika? Nimewauliza mkibakwa mtakuja JF kubwabwaja au mtaenda polisi?

Unaona tunatia hasira kwa sababu unadhani watu wote ni wajinga wa kudanganywa na picha. Picha kitu gani, wewe nipostie picha yako uone kama baada ya wiki nitashindwa kukurudishia ukionekana unafanya mapenzi na mbwa.

Kamwambie aliyekutuma kuwa kuna wengine wajanja hatudanganywi kitoto. Na kama ni kweli acheni ******, nendeni mkaripoti. Kwanza mlivyo hamjui mipango, mnakurupuka wote kwa pamoja na picha zenu. Yaani unataka kuniambia kuwa mmoja katoa ya kwake leo lkn na wewe ulikuwa na yako siku nyingi umehifadhi

Mmezoea kututia kansa na masoda yenu,
mnasema tumekurupuka, kamwambie huyo
tajiri yako kwamba watz wamemshtukia,

tena wanajf wenye masoda machafu kusanyeni
tuyapige picha ili hawa waliozoea kuwalamba makaburu
makalio wazione, wewe vipi, unasema sema kama
unachukuliwa na maji, na nikikwambia sijatumwa utasema nini
na huo ufa la wako.
 
Hivi Bumpkin Billionare
mbona una kiherehere sana
hivi wewe ni wa kike au kiume.
 
Back
Top Bottom