Hii ni kozi iliyoanzishwa mwaka 1986 katika chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) wakati huo ikitwa social security na sasa imebadilishwa mwaka 2005 na kuwa social protection sasa lengolilikuwa kuweza kupunguza gharama za kuwatumia wataalamu wa nje katika masuala muhimu na nyeti yanayohusu hifadhi ya jamii, masula hayo ilikuwani pamoja na ku set michango ya wanachama, kufanya ubashri wa hifadhi ya jamii kwa kiaka ijayo (acturial projection) kupanga kiasi cha malipo ya uzeeni ya mkupuo (lumpsum payments) na pensheni
sasa toka mwaka 1985 mpaka 2011 wapo wananchuo waliofuzu vizurui na kupata ajira kwa ajili ya kuisadia jamii katika sekta hii nyeti, lakini kuna mambo mawili yakusikitisha
1.wengi wa waajiri hawaelewi nini maana ya social protection na kama wanaelewa basi kwa kidogo sana na wale walioko katoka sekta binafsi wanaogopa wakikuajiri utawabumbuluw wafanyakazi kuhusiana na umuhimu wa social securty
2. baadhi ya mifuko ya hifadhi ya jamii imejaa ukiritimba wa wazi kuna mambo kama udini vinalalamikiwa, misllocation of proffessionalism unakuta mhandisi anapewa kuongoza hifadhi ya jamii, mamifuko yamejaa wahasibu, wasimimizi wa biashara, watu wa ustawi wa jamii inaumiza sana na wanawekwa kweye vitengo ambavyo havina mahusiano na taaluma zao
lini hali hii itakwasha jamani inaudhi na inaumiza sana
kwa wafuatiliaji check article yangu kwemye website ya watanzania wanaoishi denmark TANDEM
siku njema wadau
sasa toka mwaka 1985 mpaka 2011 wapo wananchuo waliofuzu vizurui na kupata ajira kwa ajili ya kuisadia jamii katika sekta hii nyeti, lakini kuna mambo mawili yakusikitisha
1.wengi wa waajiri hawaelewi nini maana ya social protection na kama wanaelewa basi kwa kidogo sana na wale walioko katoka sekta binafsi wanaogopa wakikuajiri utawabumbuluw wafanyakazi kuhusiana na umuhimu wa social securty
2. baadhi ya mifuko ya hifadhi ya jamii imejaa ukiritimba wa wazi kuna mambo kama udini vinalalamikiwa, misllocation of proffessionalism unakuta mhandisi anapewa kuongoza hifadhi ya jamii, mamifuko yamejaa wahasibu, wasimimizi wa biashara, watu wa ustawi wa jamii inaumiza sana na wanawekwa kweye vitengo ambavyo havina mahusiano na taaluma zao
lini hali hii itakwasha jamani inaudhi na inaumiza sana
kwa wafuatiliaji check article yangu kwemye website ya watanzania wanaoishi denmark TANDEM
siku njema wadau