Social Networking/Mitandao ya ki-Jamii...

images
......sasa kimbembe ni pale ushalitibua huko nyumbani, ukifika ofisini unakumbana na wasamaria wema mlangoni wanakupa pole,....mke keshatangaza talaka mtandaoni!

hakuna siri tena!
 
Wats up MBU,Lizzy & other Jf members.
Duuuuuuu!!!
Honestly mada imenibamba coz nina bestfriend wangu kampoteza ampendaye coz of "FACEBOOK" hivyo bac nikitaka kumchokoza namuita cha facebook. Wandugu plz naomba msupply ma ujafanja ili nami isije nicost kivile.

Karibu GeeJei. . ,
Enhe nini kilimtokea rafiki yako huko FB?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahahahaha. . . .
BAK hivi kumbe mpaka LIKE unazihesabu? Basi naacha kuchangia na post zake kabisa.

Ila siku hizi bana watu wakiwa kwenye mahusiano wanachunguzana mtithili ya bacteria kwenye microscope. It's dangerous. . . maana ukishakua paranoid unaishia kuona hata patterns ambazo hazipo au sio za makusudi.
:poa

...Neno hilo Queen.
 
Hizi social net work acha tu. Mi nilimuombaga urafiki mamsap fb akaniignore. Nilichofanya nilifungua email tofauti nikatumia jina tofauti na nikaweka picha tofauti, nikamwomba urafiki haikuchukua hta nukta akaniad bila kujua kamuadd mamsap. Yaani yalioendelea humo we acha tu. Eti akanitongoza na kunitongoza, tukawa wapenzi na no zake akaanika. Nikawa natumia mtu mwengine kuongea nae. Sasa ilipofika siku anataka tuonane, na upande wangu mimi real mamsap akaanza vituko, kejeli, dharau. Mwisho wa siku nikampasulia ukweli hakuamini. Aibu hdi nyayoni, Facebook hukoo!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ila watu wanalizwa jamani, kama facebook ndio balaa!!! Mi huwa najiuliza, ina maana huko (mbali na jf) hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya kuentertain mapenzi tu??
Mapenzi nayo ni kitu cha msingi kakondoo. . . muhimu watu wasichakachue na kuharibu maana.
 
Hizi social net work acha tu. Mi nilimuombaga urafiki mamsap fb akaniignore. Nilichofanya nilifungua email tofauti nikatumia jina tofauti na nikaweka picha tofauti, nikamwomba urafiki haikuchukua hta nukta akaniad bila kujua kamuadd mamsap. Yaani yalioendelea humo we acha tu. Eti akanitongoza na kunitongoza, tukawa wapenzi na no zake akaanika. Nikawa natumia mtu mwengine kuongea nae. Sasa ilipofika siku anataka tuonane, na upande wangu mimi real mamsap akaanza vituko, kejeli, dharau. Mwisho wa siku nikampasulia ukweli hakuamini. Aibu hdi nyayoni, Facebook hukoo!

Vitu vingine kama movie vile.
Yani mtu anakua mzembe kiasi hicho? Pole mwaya.
 
Hahahahaha. . . .
BAK hivi kumbe mpaka LIKE unazihesabu? Basi naacha kuchangia na post zake kabisa.

Ila siku hizi bana watu wakiwa kwenye mahusiano wanachunguzana mtithili ya bacteria kwenye microscope. It's dangerous. . . maana ukishakua paranoid unaishia kuona hata patterns ambazo hazipo au sio za makusudi.

...Mkuu Mbu kwa taarifa yako Njemba haikuwa na access ila ilifanya uchakachuaji ili kupata access.


...hahahaha, mmezungumza lugha moja, paranoia imezidi na hii mitandao imezidisha balaaaaa....hahahahaha
tutajiepusha vipi sasa na timbwili hili? kuna njia gani zitazotusaidia kuepusha mavarangati haya tunayoyashihudia?

nyumbani mke/mume siku tatu wamenuniana, lakini kila saa wanapekua kwenye profile ya mwenzake ka update nini...sio maisha hayo, lol!
 
Hizi social net work acha tu. Mi nilimuombaga urafiki mamsap fb akaniignore. Nilichofanya nilifungua email tofauti nikatumia jina tofauti na nikaweka picha tofauti, nikamwomba urafiki haikuchukua hta nukta akaniad bila kujua kamuadd mamsap. Yaani yalioendelea humo we acha tu. Eti akanitongoza na kunitongoza, tukawa wapenzi na no zake akaanika. Nikawa natumia mtu mwengine kuongea nae. Sasa ilipofika siku anataka tuonane, na upande wangu mimi real mamsap akaanza vituko, kejeli, dharau. Mwisho wa siku nikampasulia ukweli hakuamini. Aibu hdi nyayoni, Facebook hukoo!

....daaahhh, pole bana....duhhhh!?


Vitu vingine kama movie vile.
Yani mtu anakua mzembe kiasi hicho? Pole mwaya.

...unataka kuniambia ujanja angefanyaje hapo naye lengo lake labda ilikuwa ni cheating?
 

Masikini.

Mi hii biashara ya watu kubadili status kila siku ndio inanichosha. Leo "in a relationship". . . baada ya muda "its complicated". . . kidogo kidogo huyo kawa "single". , who needs to know? Mpaka kila mtu ajue mkiwa na matatizo?Ndio mwanzo wa waliokua wanamvizia mtu wako kujaribu bahati.

Mi tangu nimejiunga nimeweka "married" sibadili hata nikifa, maana haileti usumbufu wala maswali na comment za ajabu ajabu.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wats up MBU,Lizzy & other Jf members.
Duuuuuuu!!!
Honestly mada imenibamba coz nina bestfriend wangu kampoteza ampendaye coz of "FACEBOOK" hivyo bac nikitaka kumchokoza namuita cha facebook. Wandugu plz naomba msupply ma ujafanja ili nami isije nicost kivile.

....aisee karibu bana, hakuna maujanja hapa kuelimishana tu jinsi ya kuvumilia 'jiwe la kizani!'
 
Wats up MBU,Lizzy & other Jf members.
Duuuuuuu!!!
Honestly mada imenibamba coz nina bestfriend wangu kampoteza ampendaye coz of "FACEBOOK" hivyo bac nikitaka kumchokoza namuita cha facebook. Wandugu plz naomba msupply ma ujafanja ili nami isije nicost kivile.

Jaribu kuwa mwelewa na upunguze wivu usiokuwa na tija, though akiamua kukusaliti anakusaliti tu!!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

...hahahaha, mmezungumza lugha moja, paranoia imezidi na hii mitandao imezidisha balaaaaa....hahahahaha
tutajiepusha vipi sasa na timbwili hili? kuna njia gani zitazotusaidia kuepusha mavarangati haya tunayoyashihudia?

nyumbani mke/mume siku tatu wamenuniana, lakini kila saa wanapekua kwenye profile ya mwenzake ka update nini...sio maisha hayo, lol!


....Njemba ilikuwa tayari kumpiga chini mkewe lakini mke baada ya kuona hali ile imezua kasheshe kubwa ndani ya nyumba na hali kuzidi kutishia future ya ndoa yao siku moja akaomba kuongea na mumewe na kujitetea kwamba hakukuwa na lolote njemba ikagoma, mamsap akaanza kulia vilio vya kwikwi na kudai kwamba ndoa yao ilikuwa haina tatizo ila amefanya makosa na kama ndoa ikivunjika basi watachekwa sana na mahasidi wao. Njemba akadai hiyo ilimgusa mno na hivyo kuamua kubadilisha maamuzi yake lakini anadai alikuwa amefikia hitimisho la kuivunja ndoa...kisa njemba imejaa tele linkedIn.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Jaribu kuwa mwelewa na upunguze wivu usiokuwa na tija, though akiamua kukusaliti anakusaliti tu!!!


...so, kipipi ndio kusema utajifanya mwelewa hata kama unayasoma na kuyaelewa 'yanapoelekea?'
acha bana...utaweza vumilia among his friends ni pamoja na ex wake wote unaowajua?
hutopata kishawishi kuchungulia wanaambiana nini?...hahaha...nakuchokoza ufunguke leo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Vitu vingine kama movie vile.
Yani mtu anakua mzembe kiasi hicho? Pole mwaya.

We acha tu Lizzy, tulipokuwa tunachart wakati mwengine nilikuwa nacheka, s'times nilikuwa naumia kweli kweli. Akinikosa tu net msg ktk simu analalamikaa. Na hajui anamlalamikia mtu anamjua in and out. Na ni moja ya vitu vilivyofanya tukatengana.
 
Hizi social net work acha tu. Mi nilimuombaga urafiki mamsap fb akaniignore. Nilichofanya nilifungua email tofauti nikatumia jina tofauti na nikaweka picha tofauti, nikamwomba urafiki haikuchukua hta nukta akaniad bila kujua kamuadd mamsap. Yaani yalioendelea humo we acha tu. Eti akanitongoza na kunitongoza, tukawa wapenzi na no zake akaanika. Nikawa natumia mtu mwengine kuongea nae. Sasa ilipofika siku anataka tuonane, na upande wangu mimi real mamsap akaanza vituko, kejeli, dharau. Mwisho wa siku nikampasulia ukweli hakuamini. Aibu hdi nyayoni, Facebook hukoo!

.....Duh! Makubwa haya!!!!!
 

...hahahaha, mmezungumza lugha moja, paranoia imezidi na hii mitandao imezidisha balaaaaa....hahahahaha
tutajiepusha vipi sasa na timbwili hili? kuna njia gani zitazotusaidia kuepusha mavarangati haya tunayoyashihudia?

nyumbani mke/mume siku tatu wamenuniana, lakini kila saa wanapekua kwenye profile ya mwenzake ka update nini...sio maisha hayo, lol!

Heheehhe nashea mawazo na BAK.lolz


Mbu mimi kama nilivyosema mwanzo, uelewa ni muhimu SANA maana hata ukiwa muaminifu namna gani, mwenzako asipokua mwelewa ataona faults in everything you do. Watu waache kutafuta maana ya kila LIKE na kila COMMENT kwasababu wanaozitoa sio huyo mtu wako. I mean mimi naweza nikaandika "Naumwa kweli" akatokea mtu huko out of nowhere akasema "njoo nikukumbatie". . . how would that be my fault? Na hii hata hapa JF ipo, katikati ya thread mtu anakosa chakuchangia (humjui/kajui) anakukomalia kabisa kabisa kuhusu PM ambazo hujawahi kumtumia wala kupokea. Sasa kama mtu wako nae ni member hapa na anafahamu ID yako sindo mwanzo wa ugomvi huo? Maana kama sio mwelewa hamna utakavhosena aelewe. . . kukosekana kwa hizo PM kwenye box kutamuongezea sababu za kukutuhumu kwamba "umefuta madudu yako".
 
Kipipi -
nahic unatambua ya kwamba MAPENZI kwa ss yameshika nafasi baada ya PAPERS
 
Tusiende mbali. Tuanzie na hapa hapa JF!

Wangapi humu kwa ufahari na majivuno kabisa wameutangazia umma wa JF kuwa wako kwenye ndoa na kwamba wenza wao hawapo hapa JF (sijui hata wanajuaje kwa uhakika maana humu wengi tunatumia majina bandia! Jitu linaweza likawepo na hata usijue kama lipo lol), lakini humu wamepata wenza wengine ambao wanataniana (huenda kuna zaidi ya kutaniana) na kuitana kila majina ya kimahaba?

Wewe unajidai ni mke au mume wa mtu lakini humu kuna mtu au watu unaowaita 'hun', 'honey', 'laaziz', 'sweetheart', na kadhalika. Na pengine unafanya hivyo bila ya ufahamu wa mwenza wako. Kwa nini? Hivi mwenza wako akijua unafanya hivyo atafurahia na kukaa kimya kweli? Labda huenda wapo ambao hawatatatizwa lakini pia wapo wengi ambao watakwazika!

Mimi nishasema mara kibao humu kuwa mtandao umechangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibu mahusiano ya kimapenzi. Hapa silaumu mtandao bali natambua mchango wake. Mwenye na wenye kubeba lawama mwisho wa siku ni muhusika na wahusika. Hilo halina ubishi. Lakini pia mchango wa mtandao katika kurahisisha utovu wa uaminifu hatuwezi kuukataa.

Kwa watu wahalisia kama mimi inakatisha tamaa kabisa. Manake ukikaa na kuanza kufikiria nini ambacho mtu anaweza kufanya kwa kutumia mtandao pasipo wewe kujua unabaki unatikisa kichwa na kujishika tama.

Saa ingine unabaki kuwaza sijui urudi tu Ikungu ukatafute ambaye hajui hata kutumia mtandao. Lakini hata Ikungu vi Nokia vyenye intaneti vipo. Facebook na yenyewe ishafika, hata Tagged nayo ipo. Gademu! Huna ujanja. Huna pa kukimbilia.

Mwisho wa siku inabidi tu ukubaliane na hali halisi kuwa ukiwa kwenye mahusiano na mtu uwezekano wa wewe kutendwa ni mkubwa kuliko hata unavyodhania. Kama bado hujatendwa basi ujue kutendwa kunakuja na usije shangaa kiungo cha kutendwa kikawa ni intaneti.
 

....daaahhh, pole bana....duhhhh!?




...unataka kuniambia ujanja angefanyaje hapo naye lengo lake labda ilikuwa ni cheating?
Asingeongeza ongeza watu hovyo.


We acha tu Lizzy, tulipokuwa tunachart wakati mwengine nilikuwa nacheka, s'times nilikuwa naumia kweli kweli. Akinikosa tu net msg ktk simu analalamikaa. Na hajui anamlalamikia mtu anamjua in and out. Na ni moja ya vitu vilivyofanya tukatengana.
Hahahahaha. . . kweli wanadamu hatunazo. Kwahiyo mke ananuniwa mpenzi asiyemjua ndio anamdekea?Kaazi kweli kweli.

Pole tena mpenzi. . .
Ila hujatudokeza alisemaje alipogundua huyo alokua anamdekea ni mke wake yule yule.
 
Back
Top Bottom