The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
- Thread starter
- #41
Dhambi zako nyingi sana yaani ukifika kule motoni wewe utakuwa kuni kwa wenzakoKamata mawani tupa kule.......... chukua biya tia hapa! Kulaaaaaaaleki!
Maada ya kusema hayo hebu nambie ukila pipi na maganda yake ni ukosefu wa maarifa au kutotaka utamu? Ile makitu bana unajitapikia mwenyewe kwenye mwili wako. Nani atakuwa amemlala mwenzie sasa? Agrrrrrrrrrrrrrrr