AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
yani hapaaa naandika ndio kama dk 45 zimepita toka kasheshe la mhaiti mmoja na mnigeria kukamatwa na mapolisi bada ya kukamatwa na bangi na madawa ya kulevia ktk room wanayolala ambayo iko ktk flour yangu mm ninakoishi loh! wanaenda kula 14 years bila pingamizi yani na mmoja alibakiza miezi 9 achukue master yake asepe loh! yani mlangoni kwao waliandika dont mess with mother cobra lkn cku zote tunajua ni maneno tuu mana hata cc mlangoni kwetu tumeandika slogan yetu kumbe loh!