Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,137
So sad
mgonjwa mmoja alikuwa mahututi baada ya ndug kumepeleka kwa waganga 'na mahospital kibao bila msaada aliamini msada unatoka kwa mungu na kuomba wana maombi waje kumwombea ..
Walipofika kama watano wakaanza kumzunguka mgonjwa na kukemea majini yote .bahati mbaya yule mgonjwa alikuwa amefunikwa na oxygen ...walioepndelea kuomba pembeni ya mgonjwa kulikuwa na peni na karatasi kwa kuwa akuweza kusema akageuuka upande wa pili jamaa wakajua ananyanyuka akachukua peni akaandika
alipomaliza kuandika akaanza kuhangaika..mmh gafla akakata roho jamani
ndugu wakaanza kulia kweli mmoja wa ndugu akasema embu tusome jamani ameandika nini labda kaacha usia
kilichoandikwa
""jamani mmekalia oxygen mnaniuaa tafadhali nisaidieni""kumbe wakati wa kuomba mmoja alikuwa amekalia ule mpira wa oxygen na hewa ikawa aiendi tena jamaa akaenda kwa baba .....
Usikumwema jamani
mgonjwa mmoja alikuwa mahututi baada ya ndug kumepeleka kwa waganga 'na mahospital kibao bila msaada aliamini msada unatoka kwa mungu na kuomba wana maombi waje kumwombea ..
Walipofika kama watano wakaanza kumzunguka mgonjwa na kukemea majini yote .bahati mbaya yule mgonjwa alikuwa amefunikwa na oxygen ...walioepndelea kuomba pembeni ya mgonjwa kulikuwa na peni na karatasi kwa kuwa akuweza kusema akageuuka upande wa pili jamaa wakajua ananyanyuka akachukua peni akaandika
alipomaliza kuandika akaanza kuhangaika..mmh gafla akakata roho jamani
ndugu wakaanza kulia kweli mmoja wa ndugu akasema embu tusome jamani ameandika nini labda kaacha usia
kilichoandikwa
""jamani mmekalia oxygen mnaniuaa tafadhali nisaidieni""kumbe wakati wa kuomba mmoja alikuwa amekalia ule mpira wa oxygen na hewa ikawa aiendi tena jamaa akaenda kwa baba .....
Usikumwema jamani