Iteitei Lya Kitee
JF-Expert Member
- Jan 2, 2008
- 586
- 46
<USHAURI>
Wajameni...nimekua na uhusiano na huyu binti kwa muda wa miaka minne sasa...lakini wkt ndo kwanza najiandaa kumfanya jiko aka mama mwenye nyumba...anatokea kidume mwingine ndani ya mda mfupi anamteka akili HASIKII WALA HAONI...kila nnachomwambia kwake aona karaha.Sikatai kua nami nna mapungufu yangu as well as yeye lkn nimejaribu kumwambia asamehe ya kale TUSONGE MBELE lkn jibu analo nipa eti ni kua nimpe mda atulize akili....kwa tafsiri ya haraka haraka hii yamaanisha kua nimwache aendelee na huyu jamaa mpya then atarudi akiona kua hana matumaini kule.
Kinachoniuma mmi ni jinsi anavyonidharau na kuniumiza kwa sasa...NNA MAUMIVU MAKALI sana nnapo andika sasa hvi na sijui nifanyeje...ki ukweli bado NAMPENDA tena saaaaana yaaani...but ndo hvyo JE NIFANYEJE WADAU maana hii kitu yaniumiza kichwa...imagine siku nataka nianze utambulisho rasmi alikataa kuja kabisa...this is a DENIAL OF HEART..
Please kama kuna pyschologist they can help on this.
Wajameni...nimekua na uhusiano na huyu binti kwa muda wa miaka minne sasa...lakini wkt ndo kwanza najiandaa kumfanya jiko aka mama mwenye nyumba...anatokea kidume mwingine ndani ya mda mfupi anamteka akili HASIKII WALA HAONI...kila nnachomwambia kwake aona karaha.Sikatai kua nami nna mapungufu yangu as well as yeye lkn nimejaribu kumwambia asamehe ya kale TUSONGE MBELE lkn jibu analo nipa eti ni kua nimpe mda atulize akili....kwa tafsiri ya haraka haraka hii yamaanisha kua nimwache aendelee na huyu jamaa mpya then atarudi akiona kua hana matumaini kule.
Kinachoniuma mmi ni jinsi anavyonidharau na kuniumiza kwa sasa...NNA MAUMIVU MAKALI sana nnapo andika sasa hvi na sijui nifanyeje...ki ukweli bado NAMPENDA tena saaaaana yaaani...but ndo hvyo JE NIFANYEJE WADAU maana hii kitu yaniumiza kichwa...imagine siku nataka nianze utambulisho rasmi alikataa kuja kabisa...this is a DENIAL OF HEART..
Please kama kuna pyschologist they can help on this.