bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
kweli hii dunia ina watu sio mchezo...hivi hivi unatoa namba ya simu kama njugu????
ndo maana wewe ukaitwa tangawizi na mwenzako akaitwa emoshi.....................
kweli hii dunia ina watu sio mchezo...hivi hivi unatoa namba ya simu kama njugu????
Bacha umegundua huwa unaniuzia saana kesi...lol
Asha mimi na wewe tuna hiyana kweli?
kumbuka zimwi likujualo halikuli likakwisha...........................
mwenzenu ana upwekeha ha ha... hiana hatuna bana, mimi naona niachane na hii
topic labda unipe habari ya kona uliopo wkend hii....lol
Naamini mwenye uzi kalala...