King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
mie sitasahau malezi mazuri ya wazazi wangu na wanangu lazma warithi! kuna kitoto cha mtu kikikutembelea unatamani wknd iishe kirudi kwao manake hakijui hata kutandika kitanda. nimefundishwa 'u cant enjoy what u cant afford'. sasa huyu 21 hata kama shule kamaliza anahitaji kununua makalio/makochi! i doubt kama ana-afford kujirusha,lol!
Dear he is 21.. thus ana qualify kupumzika on this Saturday jamani...King'asti uko strict kwa vijana eeeh?? safi saana..