Dah Asante mkuu kwa kunipa darsa kesho nikitimba kuwakatia madent wangu Geography ntawaelezea ka vle nshawi kuiona coz nilishawi ulizwa class texture ya snow na mwanafunzi nkambwelambwelaNi laini kama pamba na ukishika mkononi unayeyuka ghafla na kuwa majimaji. Lakini ikikaa ardhini na temperature ikizidi kuwa baridi huganda na kuwa barafu. Ikinyesha hiyo jitahidi kuiondoa mlangoni na njia ya kutembelea au kupaki gari kabla haijaganda, ikishaganda utahitaji kuingia gharama ya kununua viroba vya chumvi kwa ajili ya kumwaga chumvi kuyeyusha vinginevyo ni jiwe la barafu. Actuayy I hate snow.
bora siko kny maboksi aisee,ni kujifungia kny mablanketi na kusurf JF kwa kwenda mbele,poleni mnaoenda makazini lol...benefits oyeeee.....
bora siko kny maboksi aisee,ni kujifungia kny mablanketi na kusurf JF kwa kwenda mbele,poleni mnaoenda makazini lol...benefits oyeeee.....
hivi ni ngumu kama mawe au laini kama pamba!!!
Jamani watu wa mafinga na lushoto hakuna cha kuchangia??
Sisi ambao hatujawahi kufika europe hatuna cha kuchangia hapa!!!!
Tiba