Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Hii picha imenikumbusha mbaoi siku nilipochelewa kwenda darasani college huko baada ya kukwamba njiani nilipotoka kazini usiku sababu ya snow kunyesha futi tatu sawa na karibu meter moja
Hii picha imenikumbusha mbaoi siku nilipochelewa kwenda darasani college huko baada ya kukwamba njiani nilipotoka kazini usiku sababu ya snow kunyesha futi tatu sawa na karibu meter moja
hivi ni ngumu kama mawe au laini kama pamba!!!
kwa nchi za nje ni vitu vya kawaida tu hswa huu mwezi wa pili na balaa huku nilipo.................
Hii picha imenikumbusha mbaoi siku nilipochelewa kwenda darasani college huko baada ya kukwamba njiani nilipotoka kazini usiku sababu ya snow kunyesha futi tatu sawa na karibu meter moja
hivi ni ngumu kama mawe au laini kama pamba!!!
kwa nchi za nje ni vitu vya kawaida tu hswa huu mwezi wa pili na balaa huku nilipo.................
27.01.2012 09:37
Wabongo msije huku mtaganda jamani mie sitoki njee barafu ya kuwaga ukiwa na ngiri waweza kufaa....................................
Mwenzangu kwani wewe umerudi bongo? mimi nipo huku nimekumbatia ma Heater hata kuwa nalo mbali hilo Heater sipendi na utu uzimandio kabisa nikiwa na shemeji yako ndio kabisa namkumbatia lakini wapi shemeji yako yupo bongo mimi nipo peke yangu naumia na baridi miaka 20 imepita bado nipo Ughaibuni ahhhh kazi kweli ipoooooWe MziziMkavu umenirudisha mbali sana, nikikumbuka na kuwaza yaliyonipata basi tu. Asubuhi unaamka uwahi kwenda chuoni unakutana na gari lako limezama ndani ya snow. Huwezi kuondoka hadi upige sepetu na kuwasha gari kwa dakika kadhaa kupasha joto ili barafu iyeyuke. Sikumbuki ile sepetu nimeachia wapi nilipoondoka, labda landlord alipata urithi.
kumbe uliwahi kukaa il?.....
Hii picha imenikumbusha mbaoi siku nilipochelewa kwenda darasani college huko baada ya kukwamba njiani nilipotoka kazini usiku sababu ya snow kunyesha futi tatu sawa na karibu meter moja
aiseeeeee........arifu na mko yupo bongo eeeeh? aiseeee goood sanaMwenzangu kwani wewe umerudi bongo? mimi nipo huku nimekumbatia ma Heater hata kuwa nalo mbali hilo Heater sipendi na utu uzimandio kabisa nikiwa na shemeji yako ndio kabisa namkumbatia lakini wapi shemeji yako yupo bongo mimi nipo peke yangu naumia na baridi miaka 20 imepita bado nipo Ughaibuni ahhhh kazi kweli ipooooo
​
We MziziMkavu umenirudisha mbali sana, nikikumbuka na kuwaza yaliyonipata basi tu. Asubuhi unaamka uwahi kwenda chuoni unakutana na gari lako limezama ndani ya snow. Huwezi kuondoka hadi upige sepetu na kuwasha gari kwa dakika kadhaa kupasha joto ili barafu iyeyuke. Sikumbuki ile sepetu nimeachia wapi nilipoondoka, labda landlord alipata urithi.
Just outside my home
Mzee ulikuwa pande za wapi na College gani uliyosoma, maana inawezekana ulisoma na mbeba Box mmoja maarufu sana siku hizi amekuwa ni Rais wa wabeba mabox!!
Mwenzangu kwani wewe umerudi bongo? mimi nipo huku nimekumbatia ma Heater hata kuwa nalo mbali hilo Heater sipendi na utu uzimandio kabisa nikiwa na shemeji yako ndio kabisa namkumbatia lakini wapi shemeji yako yupo bongo mimi nipo peke yangu naumia na baridi miaka 20 imepita bado nipo Ughaibuni ahhhh kazi kweli ipooooo
​
Jamani hata wa chalinze mnatupiga sound??haya bwana inamaana ikinyesha hiyo sijui snow ha muendi kazini??