breaking news zingine bana....
sasa mvuta bangi na unga kama huyo
utajivunia nini akijitangaza ni muumini wa dini yako?
wakati bangi zake ziko pala pale?
na kesho utasikia anatoa dvd nyingine ya porno.....
Hao ndio haswa wanaoongoka, wameona hayo ya bangi na unga hayajawasaidia kitu na kanisa halijawasaidia kitu katika kuwaongoa. Wameiona njia iliyo nyooka.
Njia iliyonyooka kwenda jehanamu!Wameiona njia iliyo nyooka.
breaking news zingine bana....
sasa mvuta bangi na unga kama huyo
utajivunia nini akijitangaza ni muumini wa dini yako?
wakati bangi zake ziko pala pale?
na kesho utasikia anatoa dvd nyingine ya porno.....
Duh kumbe nyie mtu akiwa mkristo mnapeana hela. huku Uislam hakauna hela baba. Kama unaingia kwa Imani yako na ukifata hela zipo makanisani. Kwenye Sadaka lukuki huku unapewa vitu tu uwe fiti kirohoLoon alishapigika baada ya kuona hawezi tena game ya music akasilimu ili apewe petrodollar na alifanikiwa maana mwaka jana alikuwa mgeni maalum wa mfalme Saudia ambapo alimtembelea baada ya kutoka Hijja. Kwa sasa Loon ana uhakika wa maisha kwa hela anazopewa na waarabu.
breaking news zingine bana....
sasa mvuta bangi na unga kama huyo
utajivunia nini akijitangaza ni muumini wa dini yako?
wakati bangi zake ziko pala pale?
na kesho utasikia anatoa dvd nyingine ya porno.....