SMZ yakana kufuja fedha kwa `mashangingi`

Wakuu, mtanisamehe lakini nashindwa kabisa kuelewa mnachozungumza hapa..
kuna watu wanadai kuwa kusamehewa madeni ni pamoja na kurudishiwa fedha ambazo umekwisha lipa ktk deni..
Hivi kweli mnafahamu misaada (aids) inavyotolewa na hata kuitwa DENI na likafikia kusamehewa kama deni..
Ebu nambieni mathlan Wachina wametupa msaada ya billioni 1 ktk ujenzi wa uwanja wa Aman na tumewahi kulipa millioni 500 interest pekee ni millioni 350, unafikiri kweli tukisamehewa deni tutarudishiwa millioni 500 na uwanja wa Aman tumeupata bure..Nani anakudanganyeni jamani!

Na hata tukifikiria hivyo, hizo millioni 500 zilizolipwa mwanzo zilitoka wapi?..Hivi ktk accounting utaweza vipi kimahesabu kufuta hilo deni ktk kitabu cha madeni bila kuweka transaction inayohusiana na matumizi ikiwa fedha hizi sio za wananchi..
Mwiba mkuu tumeibiwa, tunaposema afadhali ya mkoloni ni kutokana na mambo kama haya!.. Hata huyo Sultan hakuwafanya ujinga wa kiuchumi kama huu..Ukombozi wa kifikra wakati unadidimizwa kiuchumi ni utumwa mbaya zaidi sawa na ule wa kutengwa..

Mkandara baba
Kunawatu watu hapa usiwatajie kabisa hao masultani kwani kwao kwao hakuna hata moja zuri ambalo walilo lifanya hata wewe ni mkali mno unapo tajiwa watu wa kisiwa kingene eti kwa sababuni warangirangi sasa leo tunaye mtawala mweusi mwenzetu unasema bora sultan? kwani tusibadilike kidogo ulevi wa mapinduzi ndio huo
La ajabu mpaka leo bado tunatukuza mapinduzi ambayo walio wengi tunaona ni kama hadithi za mama na mwana na debora mwenda,
usiwemkali mimi ninaweza kusema ni bora huyo mkoloni hakutufikishia upuuzi kama huu kuliko hawa jamaa
amakweili waafrica ndivyo tulivyo
 
Hiyo kali, wakasamehewa deni wakalipwa fedha? Inawezekana sijaelewa vizuri hiyo mantiki, na bado wakaona ni fedha za ziada hazina matumizi ngoja tuzitapanye tu? Na wanasema sio za wananchi? Huku kweli kulewa! Hivi katika nchi fedha za wananchi ni zipi? kuna zingine wananchi haziwahusu kabisa.
Hiki ni kama kichekesho fulani, nadhani si kweli hii!
 
Back
Top Bottom