sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
amna kitu mkuu...hiyo msg iliibuka kwa kasi mwaka 2006 afu ikapotea ki mtindo tu...sasa naona kuna mjinga mmoja ameianzisha tena na ukifuatilia hiyo msg utakuta ilianza tar 8 mwezi huu ikisema usiku wa terehe hiyo bt cha ajabu mpaka leo inasema "usiku wa leo" na la zaidi NASA wenyewe walishathibitisha mda mrefu tu kuwa MARS haijawahi wala hawategemei kuwa inaweza kutoa COSMO wave....