SMS settings

JAYJAY

JF-Expert Member
Oct 31, 2008
7,491
7,515
Salaam wandugu! kwenye settings za meseji naona kuna ''message validity'' ambamo humo kuna options tofauti mojawapo ni maximum, hivi ni nini kazi yake.? na kwenye message center number kuna namba ambazo ziko pale ambazo ni za kampuni ya simu ambayo ninatumia mtandao wake, je ninapobadilisha line na kuweka ya mtandao tofauti na ule niliotumia mwanzo, hii message center number huwa inabadilika?
 
Salaam wandugu! kwenye settings za meseji naona kuna ''message validity'' ambamo humo kuna options tofauti mojawapo ni maximum, hivi ni nini kazi yake.? na kwenye message center number kuna namba ambazo ziko pale ambazo ni za kampuni ya simu ambayo ninatumia mtandao wake, je ninapobadilisha line na kuweka ya mtandao tofauti na ule niliotumia mwanzo, hii message center number huwa inabadilika?

mssage validity = muda unaotaka meseji yako imsubilie unaemtumia kabla hujajibiwa kama meseji imepokelewa au la. kama unakuta centre number imebadilika hasa kwa simu za kichina ifanyie editing uweke ya mtandao unaotaka kuutumia. simu nyingi zinaibadili auto jinsi unavyo badili simcard. wenye uzoefu zaidi watatusaidia
 
asante kwa info! sasa kama huo muda umepita bila meseji kupokelwa, je, nini kinatokea kwa hiyo message?
mssage validity = muda unaotaka meseji yako imsubilie unaemtumia kabla hujajibiwa kama meseji imepokelewa au la. kama unakuta centre number imebadilika hasa kwa simu za kichina ifanyie editing uweke ya mtandao unaotaka kuutumia. simu nyingi zinaibadili auto jinsi unavyo badili simcard. wenye uzoefu zaidi watatusaidia
 
Back
Top Bottom