Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,771
- 59,120
Kwa wataalamu wa JeiEff!
Hey guys!
Naombeni mnisaidie kitu.....
Nimeweza kuback up sms zangu kwenye pc....wakati nazisave nilipata option mbili kuzisave kama TAB file au Comma separated values nikachagua zote.File la CSV linafunguka kwa Microsoft excel bila tatizo ila la TAB halifunguki.So nahitaji msaada kujua kama kuna software nnayoweza kutumia kufungua hilo file.
Asanteni
Hey guys!
Naombeni mnisaidie kitu.....
Nimeweza kuback up sms zangu kwenye pc....wakati nazisave nilipata option mbili kuzisave kama TAB file au Comma separated values nikachagua zote.File la CSV linafunguka kwa Microsoft excel bila tatizo ila la TAB halifunguki.So nahitaji msaada kujua kama kuna software nnayoweza kutumia kufungua hilo file.
Asanteni