SMS hizi! Ungefanyaje?

Teacher: Which crops does Africa export to Europe?
Student: Coffee
Teacher: Good. How many types do we have?!!
Student: Two types
Teacher: Very good. What are they?
Student: Coffee Annan and Coffee Olomide mpiga sebenes
Teacger: Mungu wangu wee...!! Kweli hapa sina mwanafunzi!


You made my day ha ha ha ha nimechekaje aisee
 
Kama haja ndogo tunaiita "short call"

Haja kubwa tunaiita "long call"

**** uwezekano kujamba iiitweee "missed call"
 
Je, ungekuwa ndio baba yake ungefanyaje?

Binti kwa bahati mbaya ametuma msg kwa baba yake ambayo alitaka kumtumia boyfriend wake, akisema sweetheart siwezi kuitoa hii mimba. Kumbuka nimeshatoa mimba 17 ulizonipa. Minaogopa naweza kuharibu kizazi. Usijali ninawaandalia wazazi wangu chakula, nitawawekea sumu ili turithi mali zao. Bye sweetheart, I love you.

Je, ungekuwa ndio baba yake ungefanyaje?
 
Demu alifariki kwa ukimwi sasa mama yake akawa anaangalia nguo zake akakuta bikini mama akasema, kweli ugonjwa huu ni mbaya umekondesha mpaka chupi!

Kwa kwa kwaaaa haha haaaaa
 
I won't be impressed with technology until I can DOWNLOAD FOOD
 
Kuna kichaa alkuwa kando ya bahari cku moja akitazama maj,akapita msela akamwambia vp man,'umeona nin kipya huko?'yule kichaa akamjibu'NAITAFAKARI SANA HII BAHARI INGEKUWA SUPU CJUI NINGEINYWA NA CHAPATI NGAPI.msela hoi domo waz

Hahahaaaaaa!
 
Teja alikuwa anaangalia kioo kwa makini sana, kisha akampa mwenzie na kumuuliza "oyaa mwana hivi huyo nani?. Teja wa pili akasema "mwanangu huyu mwanao mwenyewe mimi". Teja wa kwanza akachukua kile kioo na kuangalia kwa makini zaidi akasema " aaagh kumbe huyu wewe, nilijua mimiiiiii. Kumbe mwanangu umechoka hivi?
 
mbavu zangu,kweli izi sms ni tabu tupu sitasahau siku nilituma sms nikajua imeenda kwa mbea mwezangu tuliekua tunachat tukimsema jamaa nikakosea ikaenda kwa mhusika dah!!sitakaa kusahau
 
inabidi niende hospitali nikapige X- ray nahisi mbavu zimevunjia kwa kucheka, gays you make my day
 
Mkristo kavamia futari
vyuuuuuuuup! Baada ya kula Sheikh si akamchagua asome dua ya kushukuru! Jamaa akatetemeka sana kwa kuogopa ila akajikaza kiume na kuanza kama ifuatavyo:
Jamaa: Ya Tawfiq
Watu: Amin
Jamaa: Ya Habib
Watu: Amin
Jamaa: Yaa Shabiby
Watu: Amin
Jamaa: Ya Abood
Watu: Amin
Jamaa: Ya Hood
Watu: Amin
Jamaa: Ya Scandnavia
Watu: Mhhhhhhhhhh
Jamaa: Ya Dar Express
Watu: Aaaaaaaaaaaa, kamata tia bakora mwanaharamu huyu!

imeharibu mbavu zangu.!
 
mkristo kavamia futari
vyuuuuuuuup! Baada ya kula sheikh si akamchagua asome dua ya kushukuru! Jamaa akatetemeka sana kwa kuogopa ila akajikaza kiume na kuanza kama ifuatavyo:
Jamaa: Ya tawfiq
watu: Amin
jamaa: Ya habib
watu: Amin
jamaa: Yaa shabiby
watu: Amin
jamaa: Ya abood
watu: Amin
jamaa: Ya hood
watu: Amin
jamaa: Ya scandnavia
watu: Mhhhhhhhhhh
jamaa: Ya dar express
watu: Aaaaaaaaaaaa, kamata tia bakora mwanaharamu huyu!
jamani hii imenivunja mbavu kwa kweli
 
Back
Top Bottom