cheupe sr
Senior Member
- Aug 18, 2012
- 102
- 34
We jamaa umenivunja mbavu hadi nimepaliwa
Jamani eee mnatuvunja mbavu bwana.. daaa
We jamaa umenivunja mbavu hadi nimepaliwa
Kwi kwi kwi daa naona invisible aniletee msaada sasa maana mbavu zimeisha...Mlevi kaanguka toka ghorofani fasta watu wakamfata kumsaidia wakamuuliza VIPI IMEKUAJE? Mlevi akajibu: "HATA SIJUI NA MIE NDO NAFIKA SASA HIVI..."
MC anamsifia Bi. Harusi
"Sasa nawapa sifa kubwa ya Bibi harusi. Tangu namfahamu huwa havai nguo za ndani!"
Watu wakaduwaa
MC "Narudia tena kwa msisitizo na sijakosea. Bi. Harusi huyu huwa havai kabisa nguo za ndani. Yeye anavaa za kutoka Italy, England na USA. Si za Tanzania. Hebu mshangilieni!"
Kila mtu "Ahaaaaaa...!"
DINI IMANI BWANA:kuna jamaa aliingia msikitini na panga akakuta watu wanaswari,akauliza oya kuna muislam humu ndani,watu wote kimya akamchukua mmoja akaenda nae nje kumbe alikua anataka akamchinjie mbuzi,baada ya muda kidogo akarudi na panga lenye damu akauliza tena kuna muislam humu ndani jamani,watu wote mikono kwa shehe anaye swalisha,shehe nae akasema hivi jamani kuswalisha siku mbili tu mnaniita mwislam mie mwenyewe najifunza jamani,mwenyepanga akasema hivi nilikua ntaka wa kusaidia kuchuna ngoz ya mbuzi maana mwezenu kachinja,wote ahhhh,kisa panga unaikataa din duh
hahahhahha.................uwiiiiiiiiii...........hahahahahah.Mlevi kaanguka toka ghorofani fasta watu wakamfata kumsaidia wakamuuliza VIPI IMEKUAJE? Mlevi akajibu: "HATA SIJUI NA MIE NDO NAFIKA SASA HIVI..."
Daa ka zuri sana kamchezo.. embu itumbukize yako kwanza nakubip.. subiri hapo hapo. Tehe tehe tehe..Haaa kuna kamchezo nacheza hapa,kana chekesha sana hebu jaribu na wewe,weka simu yako vibration halafu itumbukize kwenye maji kisha i beep uone inavyo ogelea utapenda!
Mwalim: ee john, nitajie wanyama kumi wa porini.
John: simba watatu na tembo saba
Teacher: Which crops does Africa export to Europe?
Student: Coffee
Teacher: Good. How many types do we have?!!
Student: Two types
Teacher: Very good. What are they?
Student: Coffee Annan and Coffee Olomide mpiga sebenes
Teacger: Mungu wangu wee...!! Kweli hapa sina mwanafunzi!
Kwani huyo mze anataka kuvunja mifupa yake mwenyewe?Bintiiii.....leo utakoma kumbe una Boy friend!!
mwalim: Ee john, nitajie wanyama kumi wa porini.
John: Simba watatu na tembo saba
duuuh kanisa la freemasons nini mkuu?
Hii ndiyo kali. Maana nimecheka mpaka watu wamenishangaa. Ahsante mkuu nimeongeza siku.Teacher: Which crops does Africa export to Europe?
Student: Coffee
Teacher: Good. How many types do we have?!!
Student: Two types
Teacher: Very good. What are they?
Student: Coffee Annan and Coffee Olomide mpiga sebenes
Teacger: Mungu wangu wee...!! Kweli hapa sina mwanafunzi!