Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Ukifuatilia suala la sms za ccm huwezi kumweka pembeni waziri aliyekuwa na dhamana ya TCRA. Nani waziri aliyehusika na TCRA kabla ya kampeni za uchaguzi? Kwa vyovyote vile analo la kuhusu ushiriki wake katika kuratibu uharamia huo wa CCM.