kasambalakk
Senior Member
- Apr 2, 2011
- 125
- 17
habari za mida hiii
natumaini kuwa wote wasoma hii kitu ni wazima....
sasa wanajamii nataka kujua kama naweza kupata zile sms center number ambazo naweza kuna katuma sms for free jombaa..maujanja kama yapo please pm wajombaaa...
nakumbuka kuna kipindi nilikuwa napata hizi sms center sema mdau wangu alisepa....
natumaini kuwa wote wasoma hii kitu ni wazima....
sasa wanajamii nataka kujua kama naweza kupata zile sms center number ambazo naweza kuna katuma sms for free jombaa..maujanja kama yapo please pm wajombaaa...
nakumbuka kuna kipindi nilikuwa napata hizi sms center sema mdau wangu alisepa....