Mnyika yuko wapi?
haya mambo nayosoma humu kuhusu chadema yananipa raha wao ccm hawana muda na wananchi kbs cha kushangaza macho yao na masikio yako kwenye mambo ya kujishibisha mfano swala la mkuu wa mkoa wa dar naona hawalali
Naomba kufahamishwe, wamepata fungu wapi wakati bajeti ya serikali itapangwa June 2011? Swali lanyongeza, kila jimbo moja huunda halmashauri? Mfano, Kawe
Nadhani kwenye halimashauri huwa kuna pesa nyingi sana ambazo zinakwenda kwa wajanja wachache. Nilikuwa nazungumza na rafiki yangu mmoja akaniambia ile halimashauri ya moshi walikuwa na hamu sana ccm washinde kwa sababu ilikuwa chini ya chadema walikuwa wanashindwa kufanya dili. milango ilifungwa dili zilikauka.
Naomba kufahamishwe, wamepata fungu wapi wakati bajeti ya serikali itapangwa June 2011? Swali lanyongeza, kila jimbo moja huunda halmashauri? Mfano, Kawe
Mwenye contacts za wenje tafadhari... tushirikiane kuijenga nyamagana kimawazo kama wenzetu wa ubungo na mnyika, pia mlio karibu na wabunge wa chadema wahimizeni wote kujiunga mitandaoni muwaeleze kuwa hii ndio silaha yetu kuu chadema na njia mbadala ya kupunguza matumizi yanayo epukika (usafiri)
Mnyika yuko wapi?
Mbona sijaona chochote hapa arusha?
Nakwambia hawa ni makamanda wa vita wera wera moto unawaka halima mdeee kisha vamia mabarabara ya vichochoro anawaunganisha wananchi barabara zinachongwa sasa nakwambia mambo ni mdundo wera wera nakwambia
WALK THE TALK ALWAYS -
1. Kama walivyotekeleza kilio cha wananchi pale mjengoni kwa kumpa feedback mwenyekiti wa ccm Taifa, Hon.Kikwete kwamba hakufurahishwa na udikiteta uliotekelezwa na nec na usalama wa Taifa na hivyo kuhitaji forum ya katiba mpya, tume huru (NEC) na tume huru kuchunguza kasoro nzito za mchakato wa uchaguzi na kuicha nchi nzima ikitisika ikiwa ni pamoja na wasio na akili kulaani hatua ya MEJEMADALI wa wananchi. Kazi ya MAJEMADALI hao inaendelea ikiwa ni pamoja na kuhakikisha virusi vya ccm havipewi nafasi.
2. MAKAMANDA hao wamevamia majimbo yao na kuanza kazi kwenda mbele mfano ni mpiganaji Tundu Lissu ametoa elimu ya uraia kwa wananchi kwamba sheria ya kuwatosha ushuru walalahoi kodi za mazao ya misitu ilishafutwa tangu mwaka 2002 na hivyo kuweka vizuizi na kuendelea kuwatoza watanzania huku mabilioni yakipoytea kwenye magogo na vitaru vya uwindaji ni kuwanyonya na kuwanyanyasa wananchi maskini nchini mwao-kutokana na elimu hiyo ya uraia wananchi wa singida wameng'oa vizuizi vilivyoweka kwa malengo hayo, nakwambia moto utawaka.
3. Wapiganaji Wenje na Hynes(Mwanza) Lema(Arusha) waliong'oa mizimu na mizinga ya ccm wapo kwenye mchakato wa kumpata meya wa jiji la mwanza kwa lengo la kutekeleza ilani ya chadema jijini mwanza na arusha -hii itakuwa mifano ya majiji yanayoongozwa na chadema -elimu bure, afya bure na miundombinu, na vita dhidi ya ufisadi ni vipa umbele walivyoweka mbele kuvishugulikia kazi mdundo.
4. Wapiganaji wengine wote wako wanamalizia workplans zao na kuzisubmit kwa kiongozi Dr.Slaa amabae atakuwa anamonitor utendaji kwa kuwa na one on ones on monthly basis, quarterly review na mid year review, nakwambia moto si mchezo vijana wamesukwa na wanaenda kulipua mabomu mjengo utawaka moto.
Hongera CHADEMA, hongera Dr.Slaa, Hongera CC CHADEMA, hongera kiungo mchezeshaji baba mbowe -vita ni vita mura
Hao wa mwanza wamshikie bango Wilson Kabwe ni fisadi wa kutupwa alihama Mbeya na vijana wake wa kuchakachua Mphamacia na mzee wa manunuzi na ugavi Mahinya hao ni moto wasione pesa imetolewa wataitafutia matumizi yasiokuwa na msingi.
WALK THE TALK ALWAYS -
1. Kama walivyotekeleza kilio cha wananchi pale mjengoni kwa kumpa feedback mwenyekiti wa ccm Taifa, Hon.Kikwete kwamba hakufurahishwa na udikiteta uliotekelezwa na nec na usalama wa Taifa na hivyo kuhitaji forum ya katiba mpya, tume huru (NEC) na tume huru kuchunguza kasoro nzito za mchakato wa uchaguzi na kuicha nchi nzima ikitisika ikiwa ni pamoja na wasio na akili kulaani hatua ya MEJEMADALI wa wananchi. Kazi ya MAJEMADALI hao inaendelea ikiwa ni pamoja na kuhakikisha virusi vya ccm havipewi nafasi.
2. MAKAMANDA hao wamevamia majimbo yao na kuanza kazi kwenda mbele mfano ni mpiganaji Tundu Lissu ametoa elimu ya uraia kwa wananchi kwamba sheria ya kuwatosha ushuru walalahoi kodi za mazao ya misitu ilishafutwa tangu mwaka 2002 na hivyo kuweka vizuizi na kuendelea kuwatoza watanzania huku mabilioni yakipoytea kwenye magogo na vitaru vya uwindaji ni kuwanyonya na kuwanyanyasa wananchi maskini nchini mwao-kutokana na elimu hiyo ya uraia wananchi wa singida wameng'oa vizuizi vilivyoweka kwa malengo hayo, nakwambia moto utawaka.
3. Wapiganaji Wenje na Hynes(Mwanza) Lema(Arusha) waliong'oa mizimu na mizinga ya ccm wapo kwenye mchakato wa kumpata meya wa jiji la mwanza kwa lengo la kutekeleza ilani ya chadema jijini mwanza na arusha -hii itakuwa mifano ya majiji yanayoongozwa na chadema -elimu bure, afya bure na miundombinu, na vita dhidi ya ufisadi ni vipa umbele walivyoweka mbele kuvishugulikia kazi mdundo.
4. Wapiganaji wengine wote wako wanamalizia workplans zao na kuzisubmit kwa kiongozi Dr.Slaa amabae atakuwa anamonitor utendaji kwa kuwa na one on ones on monthly basis, quarterly review na mid year review, nakwambia moto si mchezo vijana wamesukwa na wanaenda kulipua mabomu mjengo utawaka moto.
Hongera CHADEMA, hongera Dr.Slaa, Hongera CC CHADEMA, hongera kiungo mchezeshaji baba mbowe -vita ni vita mura