Tulizo JF-Expert Member Jun 13, 2011 848 662 Sep 29, 2012 #1 Wenzetu wanafikiria 2050... siyo mbali sana... ni miaka 18 toka sasa... ila sisi waswahili tutakuwa bado tunakimbia kurudi "stone age"... [video=youtube_share;Jg0CvGCf4XU]http://youtu.be/Jg0CvGCf4XU[/video]
Wenzetu wanafikiria 2050... siyo mbali sana... ni miaka 18 toka sasa... ila sisi waswahili tutakuwa bado tunakimbia kurudi "stone age"... [video=youtube_share;Jg0CvGCf4XU]http://youtu.be/Jg0CvGCf4XU[/video]
C CLEMENCY JF-Expert Member Feb 4, 2008 211 117 Sep 29, 2012 #2 Ulishaambiwa,kufikiria sana mambo ya nchii hii, "Ni hatari kwa afya yako". Wewe husikii. Kwanini lakini?
Ulishaambiwa,kufikiria sana mambo ya nchii hii, "Ni hatari kwa afya yako". Wewe husikii. Kwanini lakini?