THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
Searching...
Mnaofikiria kupigia kura vyama ndio mnaotuangusha. CHADEMA au CCM wakiweka jiwe utalipigia kwa sababu wewe ni shabiki wa chama hicho. Hebu tutoke huko jamani tuchague mgombea yoyote atakayesimamia maslahi na ustawi wetu kwa kiwango cha juu kinachotarajiwa na kila mtanzania bila ya kuangalia chama cha siasa anachotoka.