mlaizer
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 233
- 41
WanaJF
CDM kimejizolea umaarufu na wafuasi wengi hasa vijana hapa nchini kwa kujitahidi kupambana na ufisadi.
lakini nimefikiria msemo huu wa"kula kwa CCM kura kwa CDM" uliokuwa ukitumiwa na wafuasi wa CDM kipindi cha uchaguzi mdogo wa Arumeru magharibi nikashindwa kupata jibu la haraka.
Nimejiuliza yafuatayo;
1.Je,msemo huu ndio umekuwa slogan ya chama?
2.Chama hakioni kama msemo huu unapingana na slogan ya kupambana na ufisadi kwa kuwambia wafuasi wapokee rushwa itolewayo na wanaCCM?
Naomba wenye kufahamu vizuri juu ya hili wanisaidie kunipa ufafanuzi.
Karibuni
CDM kimejizolea umaarufu na wafuasi wengi hasa vijana hapa nchini kwa kujitahidi kupambana na ufisadi.
lakini nimefikiria msemo huu wa"kula kwa CCM kura kwa CDM" uliokuwa ukitumiwa na wafuasi wa CDM kipindi cha uchaguzi mdogo wa Arumeru magharibi nikashindwa kupata jibu la haraka.
Nimejiuliza yafuatayo;
1.Je,msemo huu ndio umekuwa slogan ya chama?
2.Chama hakioni kama msemo huu unapingana na slogan ya kupambana na ufisadi kwa kuwambia wafuasi wapokee rushwa itolewayo na wanaCCM?
Naomba wenye kufahamu vizuri juu ya hili wanisaidie kunipa ufafanuzi.
Karibuni