Slaas Best Lies (Ukiondoa za msimu za kampeni)

1. Kuna wanafunzi zaidi ya 400 waliotia saini zao wakipendekeza mimi nigombee urais.( ilikuwa ni siku ya pili tangu nichukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la karatu;sahihi 400 zilipatikanaje ndani ya masaa?au kwa sababu alihojiwa na gazeti la mwananchi?!)
2. Sikuwa na ndoto ya kugombea urais.( kuna wanafunzi zaidi ya 400 waliotia saini zao wakipendekeza mimi nigombee urais;uliamua ndani ya siku mbili?,safi,kumbe hata kulipa madeni yote ndani ya siku 100 inwezekana)
3. Mwaka 2001 hadi 2008 watanzania ambao ni masikini wa kutupwa wameongezeka kutoka 11.4 milioni hadi 12.9 milioni. (ni 11.1 hadi 11.8,world economic report 2010)
4. Mfumo mbovu wa uendeshaji wa serikali unasababishwa na katiba mbovu. (maana yake serikali yoyote ikiwa madarakani na ikatenda vibaya isihojiwe mpaka katiba irekebishwe na kwamba yeye amekuwa sehemu ya bunge linaloongozwa kwa katiba mbovu kwa miaka mingi na amekubali waliounda katiba hiyo toka mwaka 1977 si lolote)
5. Nitajenga mfumo mpya wa serikali kwa kubadilisha katiba.(katiba hushughulikiwa na bunge au huandikwa na rais kama mahubiri kanisani?)
6. Hadi sasa imejenga shule za sekondari 300 tu.(shule zilizojengwa ni 3,131 katika kata 2,575)
7. Ahadi kwenye bajeti zipo, lakini hazitekelezwi.(hakuthubutu kuendelea kuelezea hapo,alijua ni uongo)
8. Hakuna utawala wa sheria.(nini kilimpata shibuda alipoleta ghasia mafia?)
9. Mimi ni ‘zero tolerance' kwa ufisadi. (ruzuku ya tshs.1 bilioni kila mwaka toka serikalini kwenda ccbrt ina matatizo kila mwaka,huko yeye ni mwenyekiti;ameacha ukatibu mkuu wa baraza la maaskofu tanzania akiwa na matatizo mengi ya kifedha na hata jimboni mbulu)
10. Hakuna ‘level ground' ya siasa hapa nchini.(ni nani ambaye hakusaini sheria ya uchaguzi na ambaye hawajibiki akizivunja?)
11. Chadema ndicho chama mbadala.(kwa uhalisia na vipimo gani?)
12. Sikujua kama josephine ni mkwe wa mtu.
13. Kafulila ni mdudu sisimizi. (lmao!)
14. I was cleared by the vatican.( http://lineofauthority.com/,priesthood is never cleared)
15. Kikao cha kutengue uteuzi wa viongozi huwa ni cha kiofisi.(kafulila alitimuliwa kihuni).
16. Tunawapenda watanzania wote.(familia yake yenyewe ameshindwa kuiweka iishi pamoja kwa upendo).
mbona umeleta kidogo saana mkuu ongeza zingine
ccm oyeeeeee!!!
Ccm ni safi,
mafisadi ni nafsi ya mtu,
uwizi ni nafisi ya mtu.
Maendeleo hayaleti kwa kukaa vijiweni,
fanyeni kazi muone uzuri wa ccm.
 
... Unachojaribu kuconstruct hakina impact yeyote kwenye Taifa maana ya wananchi. Too personal. Wizi wa meremeta, wizi wa kagoda, wizi wa iptl, wizi wa epa, wizi wa .....

Ahadi za Mgombea wa CCM impact yake ni kubwa. Ni za uongo. Hazitekelezeki. Zinaonyesha miaka mitano hakuwa kazini.

Pole ndugu. It is too late now! We have the new President!!
 
mbona umeleta kidogo saana mkuu ongeza zingine
ccm oyeeeeee!!!
Ccm ni safi,
mafisadi ni nafsi ya mtu,
uwizi ni nafisi ya mtu.
Maendeleo hayaleti kwa kukaa vijiweni,
fanyeni kazi muone uzuri wa ccm.

Hata uzinzi ni nafasi ya mtu pia.
 
Huyu katumwa. Na anaifanya kazi.
In the 106 repplies you have repplied 26 Timimes!!!
Kwahiyo unasemaje?
Kura Apewe nani?
 
... Unachojaribu kuconstruct hakina impact yeyote kwenye Taifa maana ya wananchi. Too personal. Wizi wa meremeta, wizi wa kagoda, wizi wa iptl, wizi wa epa, wizi wa .....

Ahadi za Mgombea wa CCM impact yake ni kubwa. Ni za uongo. Hazitekelezeki. Zinaonyesha miaka mitano hakuwa kazini.

Pole ndugu. It is too late now! We have the new President!!

Fortunately,the topics you are trying to bring forward have been discussed in this same forum.
 
Huyu katumwa. Na anaifanya kazi.
In the 106 repplies you have repplied 26 Timimes!!!
Kwahiyo unasemaje?
Kura Apewe nani?


DON'T ARGUE WITH A FOOL, BECAUSE PEOPLE MAY NOT RECOGNISE THE DIFFERENCE!

Watu kama hawa wananiboa kweli, wakati mwingine mtu unaweza ukaamua ukaacha fani yako ukaamua kuwapunguza watu wajinga kama hawa (japo kuna uhuru wa kutoa mawazo lakini ujinga kama huu nd'o uliomfanya Ernesto Che Guevara akaacha udaktari (DOCTOR OF MEDICINE) akaamua kuingia msituni. Huu ni ujinga! Unaona kabisa CCM wameboronga halafu unaleta ujinga hapa. Samahani kwa maneno makali niliyotumia.

''If you tremble indignation at every injustice then you are a comrade of mine.”
“The revolution is not an apple that falls when it is ripe. You have to make it fall.”
“Let me say, at the risk of seeming ridiculous, that the true revolutionary is guided by great feelings of love.”
“It's a sad thing not to have friends, but it is even sadder not to have enemies.”
“Cruel leaders are replaced only to have new leaders turn cruel!”


Che Guevara-II (MEDICAL OFFICER)
 
If you look for truth, you may find comfort in the end; if you look for comfort you will not get either comfort or truth only soft soap and wishful thinking to begin, and in the end, despair.

Toooooo many quotes and no substance in it.....you are another copy and paste guy....don't need you here....we want people with threads that are thought provoking.....Be gone!!!
 
1. Kuna wanafunzi zaidi ya 400 waliotia saini zao wakipendekeza mimi nigombee urais.( Ilikuwa ni siku ya pili tangu nichukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la Karatu;sahihi 400 zilipatikanaje ndani ya masaa?Au kwa sababu alihojiwa na gazeti la Mwananchi?!)
2. Sikuwa na ndoto ya kugombea urais.( Kuna wanafunzi zaidi ya 400 waliotia saini zao wakipendekeza mimi nigombee urais;uliamua ndani ya siku mbili?,safi,kumbe hata kulipa madeni yote ndani ya siku 100 inwezekana)
3. Mwaka 2001 hadi 2008 Watanzania ambao ni masikini wa kutupwa wameongezeka kutoka 11.4 milioni hadi 12.9 milioni. (Ni 11.1 hadi 11.8,World Economic Report 2010)
4. Mfumo mbovu wa uendeshaji wa serikali unasababishwa na Katiba mbovu. (Maana yake serikali yoyote ikiwa madarakani na ikatenda vibaya isihojiwe mpaka katiba irekebishwe na kwamba yeye amekuwa sehemu ya Bunge linaloongozwa kwa katiba mbovu kwa miaka mingi na amekubali waliounda katiba hiyo toka mwaka 1977 si lolote)
5. Nitajenga mfumo mpya wa serikali kwa kubadilisha Katiba.(Katiba hushughulikiwa na Bunge au huandikwa na rais kama mahubiri kanisani?)
6. Hadi sasa imejenga shule za sekondari 300 tu.(Shule zilizojengwa ni 3,131 katika kata 2,575)
7. Ahadi kwenye bajeti zipo, lakini hazitekelezwi.(Hakuthubutu kuendelea kuelezea hapo,alijua ni uongo)
8. Hakuna utawala wa sheria.(Nini kilimpata Shibuda alipoleta ghasia Mafia?)
9. Mimi ni ‘zero tolerance’ kwa ufisadi. (Ruzuku ya Tshs.1 Bilioni kila mwaka toka serikalini kwenda CCBRT ina matatizo kila mwaka,huko yeye ni mwenyekiti;ameacha ukatibu mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania akiwa na matatizo mengi ya kifedha na hata jimboni Mbulu)
10. Hakuna ‘level ground’ ya siasa hapa nchini.(Ni nani ambaye hakusaini sheria ya uchaguzi na ambaye hawajibiki akizivunja?)
11. Chadema ndicho chama mbadala.(Kwa uhalisia na vipimo gani?)
12. Sikujua kama Josephine ni mkwe wa mtu.
13. Kafulila ni mdudu sisimizi. (Lmao!)
14. I was cleared by the Vatican.( http://lineofauthority.com/,priesthood is never cleared)
15. Kikao cha kutengue uteuzi wa viongozi huwa ni cha kiofisi.(Kafulila alitimuliwa kihuni).
16. Tunawapenda Watanzania wote.(familia yake yenyewe ameshindwa kuiweka iishi pamoja kwa upendo).

Pathological Liar at work! Hatudanganyiki wewe kiumbe
 
what has priesthood to do with his aspirancy of the presidency?
a typical hypocricy.
nothing new.
 
DON'T ARGUE WITH A FOOL, BECAUSE PEOPLE MAY NOT RECOGNISE THE DIFFERENCE!

Watu kama hawa wananiboa kweli, wakati mwingine mtu unaweza ukaamua ukaacha fani yako ukaamua kuwapunguza watu wajinga kama hawa (japo kuna uhuru wa kutoa mawazo lakini ujinga kama huu nd'o uliomfanya Ernesto Che Guevara akaacha udaktari (DOCTOR OF MEDICINE) akaamua kuingia msituni. Huu ni ujinga! Unaona kabisa CCM wameboronga halafu unaleta ujinga hapa. Samahani kwa maneno makali niliyotumia.

''If you tremble indignation at every injustice then you are a comrade of mine."
"The revolution is not an apple that falls when it is ripe. You have to make it fall."
"Let me say, at the risk of seeming ridiculous, that the true revolutionary is guided by great feelings of love."
"It's a sad thing not to have friends, but it is even sadder not to have enemies."
"Cruel leaders are replaced only to have new leaders turn cruel!"


Che Guevara-II (MEDICAL OFFICER)

Ukweli unauma
 
1. Kuna wanafunzi zaidi ya 400 waliotia saini zao wakipendekeza mimi nigombee urais.( Ilikuwa ni siku ya pili tangu nichukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la Karatu;sahihi 400 zilipatikanaje ndani ya masaa?Au kwa sababu alihojiwa na gazeti la Mwananchi?!)
2. Sikuwa na ndoto ya kugombea urais.( Kuna wanafunzi zaidi ya 400 waliotia saini zao wakipendekeza mimi nigombee urais;uliamua ndani ya siku mbili?,safi,kumbe hata kulipa madeni yote ndani ya siku 100 inwezekana)
3. Mwaka 2001 hadi 2008 Watanzania ambao ni masikini wa kutupwa wameongezeka kutoka 11.4 milioni hadi 12.9 milioni. (Ni 11.1 hadi 11.8,World Economic Report 2010)
4. Mfumo mbovu wa uendeshaji wa serikali unasababishwa na Katiba mbovu. (Maana yake serikali yoyote ikiwa madarakani na ikatenda vibaya isihojiwe mpaka katiba irekebishwe na kwamba yeye amekuwa sehemu ya Bunge linaloongozwa kwa katiba mbovu kwa miaka mingi na amekubali waliounda katiba hiyo toka mwaka 1977 si lolote)
5. Nitajenga mfumo mpya wa serikali kwa kubadilisha Katiba.(Katiba hushughulikiwa na Bunge au huandikwa na rais kama mahubiri kanisani?)
6. Hadi sasa imejenga shule za sekondari 300 tu.(Shule zilizojengwa ni 3,131 katika kata 2,575)
7. Ahadi kwenye bajeti zipo, lakini hazitekelezwi.(Hakuthubutu kuendelea kuelezea hapo,alijua ni uongo)
8. Hakuna utawala wa sheria.(Nini kilimpata Shibuda alipoleta ghasia Mafia?)
9. Mimi ni ‘zero tolerance’ kwa ufisadi. (Ruzuku ya Tshs.1 Bilioni kila mwaka toka serikalini kwenda CCBRT ina matatizo kila mwaka,huko yeye ni mwenyekiti;ameacha ukatibu mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania akiwa na matatizo mengi ya kifedha na hata jimboni Mbulu)
10. Hakuna ‘level ground’ ya siasa hapa nchini.(Ni nani ambaye hakusaini sheria ya uchaguzi na ambaye hawajibiki akizivunja?)
11. Chadema ndicho chama mbadala.(Kwa uhalisia na vipimo gani?)
12. Sikujua kama Josephine ni mkwe wa mtu.
13. Kafulila ni mdudu sisimizi. (Lmao!)
14. I was cleared by the Vatican.( http://lineofauthority.com/,priesthood is never cleared)
15. Kikao cha kutengue uteuzi wa viongozi huwa ni cha kiofisi.(Kafulila alitimuliwa kihuni).
16. Tunawapenda Watanzania wote.(familia yake yenyewe ameshindwa kuiweka iishi pamoja kwa upendo).

Wakati mwingine mnaweza kumwongezea Dkt Slaa hata pale asipohitaji,especially kama hao wanaochangia umaarufu wanafanya hiyo pasipo wwo kuelewa ie wanadhani wanammaliza kisiasa kumbe wanamjenga.Kwa mfano katika post hii,mwananchi wa kawaida tu anaweza kujiuliza WHY DOKTA SLAA PACK OF LIES na sio KIKWETE ABUNDANCIES OF TRUTH?Na hapo tumemweka kando Lipumba.Maana sitting president ni Kikwete sio Slaa.Sasa kwanini jitihada zake na wapambe wake zisiwe katika kutangaza sifa zao badala yake wanawekeza kwenye kutangaza the so called "uongo wa Dkt Slaa"?

Jibu zuri lipo katika tafsiri ya msemo mmoja wa Waingereza unaokwenda kama hivi: UKIONA WATU FLANI WANAHANGAIKA KUELEZA MABAYA YAKO UJUE HAWANA ZURI LA KUELEZA KUHUSU WAO WENYEWE.Logic ya msemo huo ni kwamba MAZURI yana umuhimu zaidi ya MABAYA hususan katika harakati za ushawishi au kufikia lengo flani.Kwahiyo,inatarajiwa mtu anayetaka kushawishi au kufikia lengo flani awekeze zaidi kwenye kutangaza MAZURI YAKE badala ya MABAYA YA MWENZAKE hususan pale MAZURI YAKE HAYAELEWEKI.
 
Back
Top Bottom