epictanzania
Member
- Mar 11, 2006
- 21
- 9
Ni bora ukaua Jemedari mmoja kuliko kuua wabeba mizigo 100 .Askari mmoja wa Israel akitekwa Palestina wanaskuachiliwa wafungwa wake 100 ili askari mmoja aliyetekwa apatiwe uhuru. Nodo maana uchumi wa Tanzania unategea Mji wa Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Tanga, Mbeya ,Nenda TRA ulizia Je msingi wa mapato uya nchi unatokana na nini.
We e vipi ? unauliza yuko wapi. Kazi aliyofanya uioni. Kwa sasa ni kuangalia matokeo na baada ya hapo ni kuona jambo gani la kuongea. Maana watu makini ufanya kazi bila kukurupuka. Kazi imesha fanyika. Kila mtu amefarijika sana maana Unapimwa kwa ubora wa matokeo siyo wingi. Huu ni mwanzo kukamato miji ya Tanzania ndo ubora next ni huko huko. Mtu wa mafanikio endelevu ni pale utakapo anza project kwa sehemu ndogo na p[ole p[ole ukakamilisha baada ya kuweka misingi imara.Linganisha kaanzia Karatu kaweka msingi imara sasa kapanuka kaingiza mabingwa Bungeni kama yeye imekuwa hivyo je wapampanaji wote alio pata itakuwaje. Angalia mtaji alio tumia na matokeo mtaji mdogo faida kubwa sana. Siyo kuwekeza mtaji mkubwa faida kidogo mwish wake unafunga duka. Mtu akifilisiki ni pale duka lake linapo anza kuishiwa bidhaa na asiweze kurudishia mwisho wa safari ni kufunga duka . Mtu mwelevu na shupavu anaanza na kiberiti baada ya miaka mitano nafungua supermarket. Subiri uone msingi ambao amejenga tayari plani imeisha kamilika sasa amemaliza msing miaka mitano ataauzia bidhaa zake zote kwenye supermarket. Kama nakuombea uishi maisha marefu uje uone ninayo kwambia.
We e vipi ? unauliza yuko wapi. Kazi aliyofanya uioni. Kwa sasa ni kuangalia matokeo na baada ya hapo ni kuona jambo gani la kuongea. Maana watu makini ufanya kazi bila kukurupuka. Kazi imesha fanyika. Kila mtu amefarijika sana maana Unapimwa kwa ubora wa matokeo siyo wingi. Huu ni mwanzo kukamato miji ya Tanzania ndo ubora next ni huko huko. Mtu wa mafanikio endelevu ni pale utakapo anza project kwa sehemu ndogo na p[ole p[ole ukakamilisha baada ya kuweka misingi imara.Linganisha kaanzia Karatu kaweka msingi imara sasa kapanuka kaingiza mabingwa Bungeni kama yeye imekuwa hivyo je wapampanaji wote alio pata itakuwaje. Angalia mtaji alio tumia na matokeo mtaji mdogo faida kubwa sana. Siyo kuwekeza mtaji mkubwa faida kidogo mwish wake unafunga duka. Mtu akifilisiki ni pale duka lake linapo anza kuishiwa bidhaa na asiweze kurudishia mwisho wa safari ni kufunga duka . Mtu mwelevu na shupavu anaanza na kiberiti baada ya miaka mitano nafungua supermarket. Subiri uone msingi ambao amejenga tayari plani imeisha kamilika sasa amemaliza msing miaka mitano ataauzia bidhaa zake zote kwenye supermarket. Kama nakuombea uishi maisha marefu uje uone ninayo kwambia.