oh my God, nyie watu mtakufa kwa pressure, relax n accept tht slaa n chadema conclusively don't qualify 4 tht nation.
more than a crap!it make me throw out.
oh my God, nyie watu mtakufa kwa pressure, relax n accept tht slaa n chadema conclusively don't qualify 4 tht nation.
oh my God, nyie watu mtakufa kwa pressure, relax n accept tht slaa n chadema conclusively don't qualify 4 tht nation.
mwache apumzike kesha maliza kazi yake, kilichobaki ni peoples power!!!!!!!!!!!!!!!!!anaandaa sababu za kushindwa, probably atasema nimeibiwa, an usual song for wapinzani.
Kwani JK yupo wapi????
:bowl:yupo kanisani:bowl:
ANAPOKEA MAAGIZO KUTOKA KWA PENGO NAMNA YA KULIPA FADHILA ZA KANISA ALIZOPEWAKATIKA KAMPENI,
kisha ataenda UK kutoa ripoti kwa wafadhili
:hippie:mpoooo!:hippie:
Kura za vituoni inaonyesha hazina sana mshiko maana zanzibar kura za vituoni na zilizotangazwa mpaka sasa na ZEC zinatofautiana kuna mambo ya ajabu sana kwenye suala zima la jumla ya kura za vituoni na zile za kujumuisha.
Day light dreams! Still not aware who has won?? CCM will never be an opposition, they coming up the next election. This one has been profitable for stability. Hope Slaa will be like Mrema Agustion in few years to come. Hope he will do well if elected the Chairman of his party.
Anaandaa sababu za kushindwa, probably atasema nimeibiwa, an usual song for wapinzani.
Mkuu ulitake awe wapi? safarini kama mkwere kuchakachua matokeo. Ni mwanasheria bado amtulia tu kusubiri matokeo!
Anaandaa sababu za kushindwa, probably atasema nimeibiwa, an usual song for wapinzani.
Bila shaka huyu jamaa hana Aibu ulichoandika ni sawa na kuweka maji kwneye Debe lililotoboka kwani umesahau kuwa Dr si JUha kama JK ni mtu wa mahesabu na hata hivyo kazi aliyoifanya ni kubwa na ndio umeona waunge zaidi ya 30 na ado zingine amazo tunasubiria, vile vile ni mpiganaji mzuri wa siasa kwani askari Hodari anashambulia ngome ile ngumu ya Adui, Kupitia DR PhD slaa ameteka ngome kama Mwanza pamoja na mbinu chafu za ccm mpaka kikwete kwenda kumsaidia Masha bila kufanikiwa Arusha, pamoja na LOwasa Fisadi namba mili 2 Baada ya kikwete Fisadi 1, kumshawishi Lema Kwa 2Billions Bila mafanikio hiyo ni siasa iliyo imara ya kiongozi bora kuteka na kufanya mapinduzi,na miji mingine ambayo CHADEMA imechukua kama UBungo, Mbulu, Karatu na sehemu nyingi, CCM wameiba kura nyingi halafu bado kuna majimo mengi zaidi ya mia.Anaandaa sababu za kushindwa, probably atasema nimeibiwa, an usual song for wapinzani.