Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Kukaa na kuanza kumjadili Nape ni kujidhihiridha kuwa na sisi tuna ukame wa maono kama yeye maana yeye anapenda kujadili watu na si masuala (issues).
Achaneni na mtu mwenye ulemavu wa kufikiri. Anawaza anguko la ccm kupitia kivuli cha Dr Slaa.
Achaneni na mtu mwenye ulemavu wa kufikiri. Anawaza anguko la ccm kupitia kivuli cha Dr Slaa.