Slaa shujaa awavutia CUF alipojumuika nao Dar Kumpokea Lipumba

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
01.jpg


Safari ya kujenga umoja katika vyama vya siasa sasa inaelekea kushika njia kwa kuonyesha ushirikiano katika masuala yenye kuleta manufaa kitaifa na kuweka kando tofauti za kiitikadi.

Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa kujumuika na WanaCUF ni dalili tosha kuleta mvuto pekee na kuibua minong'ono ya kiu ya wengi kwa siku nyingi kwamba wapinzani waunganishe nguvu pamoja kuitoa CCM madarakani.

Nawapongeza Chadema kwa uamuzi wa busara wa kuonyesha mshikamano na kuwa mfano wa kuigwa na baadhi ya vyama vya upinzani kuwa kitu kimoja katika kujenga demokrasia ya kweli nchini. Licha ya tukio zito la uzinduzi wa kampeni Arumeru Mashariki, lakini wameweza kugawana majukumu na halikuaharika neno, kila kitu kimekwenda kama walivyokusudia.
 
01.jpg


Safari ya kujenga umoja katika vyama vya siasa sasa inaelekea kushika njia kwa kuonyesha ushirikiano katika masuala yenye kuleta manufaa kitaifa na kuweka kando tofauti za kiitikadi.

Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Slaa kujumuika na WanaCUF ni dalili tosha kuleta mvuto pekee na kuibua minong'ono ya kiu ya wengi kwa siku nyingi kwamba wapinzani waunganishe nguvu pamoja kuitoa CCM madarakani.

Nawapongeza Chadema kwa uamuzi wa busara wa kuonyesha mshikamano na kuwa mfano wa kuigwa na baadhi ya vyama vya upinzani kuwa kitu kimoja katika kujenga demokrasia ya kweli nchini. Licha ya tukio zito la uzinduzi wa kampeni Arumeru Mashariki, lakini wameweza kugawana majukumu na halikuaharika neno, kila kitu kimekwenda kama walivyokusudia.

Sikutegemea mtu kama wewe kuja na habari nyepesi za viwango hivi na upotoshaji wa makusudi, Dr Slaa alishuka uwanja wa ndege wa JK International Airport siku ya jumapili na ni siku hiyo hiyo Lipumba naye ndiyo ilikuwa siku yake ya kurudi kutoka kule kwenye deiwaka zake za kisomi, na Dr ndiye alikuwa wa kwanza kushuka hapo uwanjani na kuondoka zake, ni kukomsea adabu na heshima Dr Slaa kwamba anaweza kuacha majukumu yake ya maana kwenda kumpokea mtu Airport ambaye alipaswa kupokewa na familia yake tu! huku ni kumvunjia Heshima Dr Slaa.
 
Sikutegemea mtu kama wewe kuja na habari nyepesi za viwango hivi na upotoshaji wa makusudi, Dr Slaa alishuka uwanja wa ndege wa JK International Airport siku ya jumapili na ni siku hiyo hiyo Lipumba naye ndiyo ilikuwa siku yake ya kurudi kutoka kule kwenye deiwaka zake za kisomi, na Dr ndiye alikuwa wa kwanza kushuka hapo uwanjani na kuondoka zake, ni kukomsea adabu na heshima Dr Slaa kwamba anaweza kuacha majukumu yake ya maana kwenda kumpokea mtu Airport ambaye alipaswa kupokewa na familia yake tu! huku ni kumvunjia Heshima Dr Slaa.

Hey Mheshimiwa JB Wiser tuliza munkari! Hata kama unachosema ni sahihi, kwani kuna ubaya gani kumpokea kiongozi mwenzake? Upinzani si uadui! Ni kutofautiana itikadi tu.
 
Hey Mheshimiwa JB Wiser tuliza munkari! Hata kama unachosema ni sahihi, kwani kuna ubaya gani kumpokea kiongozi mwenzake? Upinzani si uadui! Ni kutofautiana itikadi tu.
Tafuta platform ya kuongelea hizi pumbas, Dr Slaa alikuwa anatoka safari zake na akashuka kwenye ndege akatoka nje ya uwanja akacheka na wana CUF na akaondoka zake kabla ndege ya Lipumba haijatuwa uwanjani, ni kwa nini nikubali habari hii kugeuzwa ili tuamini mnavyopenda nyinyi? huu ni utoto JF inategemewa na watu kama source of Info na kamwe tusiligeuze kuwa jukwaa la porojo.
 
Sikutegemea mtu kama wewe kuja na habari nyepesi za viwango hivi na upotoshaji wa makusudi, Dr Slaa alishuka uwanja wa ndege wa JK International Airport siku ya jumapili na ni siku hiyo hiyo Lipumba naye ndiyo ilikuwa siku yake ya kurudi kutoka kule kwenye deiwaka zake za kisomi, na Dr ndiye alikuwa wa kwanza kushuka hapo uwanjani na kuondoka zake, ni kukomsea adabu na heshima Dr Slaa kwamba anaweza kuacha majukumu yake ya maana kwenda kumpokea mtu Airport ambaye alipaswa kupokewa na familia yake tu! huku ni kumvunjia Heshima Dr Slaa.
...ahsante kwa ufafanuzi lakini bado ntafakari nini lengo la aleweka bado hili...
 
Back
Top Bottom