MWANA WA DAUDI
Member
- May 12, 2011
- 46
- 7
Wanajamvi,
Jana nilikuta mabishano makao makuu ya chadema. Wengi wao ni wajumbe wa Baraza kuu ambao wanaamua hatma ya mgombea urais wa chadema 2015. Wanasema Rais ajaye atatoka chadema. Lakini mgawanyiko ukaanza pale ambapo wanamjadala waligawanyika ktk makundi ya Mbowe na Slaa.
Wanaosema Slaa wana sababu hizi;
Umaarufu wa Chadema umejengwa na Slaa.
Watanzania wanampenda Slaa zaidi ya mtu yeyote Chadema akiwepo Mbowe.
Slaa anajua mambo mengi kwa kuwa alikuwa bungeni 15 years?
Slaa ana elimu kubwa kuliko Mbowe.
Changamoto zake.
Ana umri mkubwa 2015 atakuwa na 67.
Historia ya upadri inawasumbua baadhi ya wapiga kura hasa waislamu. Mbona 2010 alipata kura nyingi? Still debatable.
Waungaji wa Mbowe.
Mbowe umri mzuri kuliko Slaa -- 62 vs 50 ya mbowe. 2015 atakuwa 55
Mbowe atatusaidia kwa fedha zake wakati wa kampeni.
Anajua kujieleza sana kupita hivyo atawashawishi wapiga kura.
Changamoto yake
Ana elimu ndogo.
Watanzania kutowaamini wachaga
Baada ya mjadala ule wa mtaani nikampigia moja wa mrafiki zangu ambaye ni kiongozi wa chadema wa makao makuu kujua wanampango wa kumpitisha nani awe mgombea wao wa Urais wa mwaka 2015. Akaniambia vikao vya chama vitaamua. Hata hivyo, kuna ukweli kwamba Mbowe baada ya kuona kuwa chadema inaungwa sana mkono anafikiria kutaka kugombea mwenyewe tena. Halafu akamalizia japo kuwa Mbowe ni rafiki yangu naona kama hajakubalika kama Dr Slaa.
My take; Mbowe na Slaa wakiingia wote ktk mchakato wa kura za maoni wataivuruga Chadema.Heri wakubaliane moja wao agombee baada ya kufanya utafiti.
Jana nilikuta mabishano makao makuu ya chadema. Wengi wao ni wajumbe wa Baraza kuu ambao wanaamua hatma ya mgombea urais wa chadema 2015. Wanasema Rais ajaye atatoka chadema. Lakini mgawanyiko ukaanza pale ambapo wanamjadala waligawanyika ktk makundi ya Mbowe na Slaa.
Wanaosema Slaa wana sababu hizi;
Umaarufu wa Chadema umejengwa na Slaa.
Watanzania wanampenda Slaa zaidi ya mtu yeyote Chadema akiwepo Mbowe.
Slaa anajua mambo mengi kwa kuwa alikuwa bungeni 15 years?
Slaa ana elimu kubwa kuliko Mbowe.
Changamoto zake.
Ana umri mkubwa 2015 atakuwa na 67.
Historia ya upadri inawasumbua baadhi ya wapiga kura hasa waislamu. Mbona 2010 alipata kura nyingi? Still debatable.
Waungaji wa Mbowe.
Mbowe umri mzuri kuliko Slaa -- 62 vs 50 ya mbowe. 2015 atakuwa 55
Mbowe atatusaidia kwa fedha zake wakati wa kampeni.
Anajua kujieleza sana kupita hivyo atawashawishi wapiga kura.
Changamoto yake
Ana elimu ndogo.
Watanzania kutowaamini wachaga
Baada ya mjadala ule wa mtaani nikampigia moja wa mrafiki zangu ambaye ni kiongozi wa chadema wa makao makuu kujua wanampango wa kumpitisha nani awe mgombea wao wa Urais wa mwaka 2015. Akaniambia vikao vya chama vitaamua. Hata hivyo, kuna ukweli kwamba Mbowe baada ya kuona kuwa chadema inaungwa sana mkono anafikiria kutaka kugombea mwenyewe tena. Halafu akamalizia japo kuwa Mbowe ni rafiki yangu naona kama hajakubalika kama Dr Slaa.
My take; Mbowe na Slaa wakiingia wote ktk mchakato wa kura za maoni wataivuruga Chadema.Heri wakubaliane moja wao agombee baada ya kufanya utafiti.