Japhet Mosi
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 207
- 53
Salimia nenda Loliondo kwa Babu ukapate kikombe kwa Babu ili akili ikae sawa
Hivi hafif, wewe hukwepo kwenye ile opinion polls ya hapa JF na kwingineko? Mbona Dr Slaa alishinda au kwa vile mechakachua?
Na mzimu wa uchakachuaji bado unawasumbua mtakoma, na kama hamkuchakachua kwa nini mnahofia nguvu ya uma? wakati ni juzi tu tulifanya uchaguzi?
Ndugu yangu acha kabisa kujidanganya kwa polls zilizopigwa hapa JF . naomba ufahamu JF almost imetekwa tena dhahiri na Chadema na pasi na shaka kabisa ni moja kati ya matawi ya Chadema, thats why hata viongozi wao waandamizi wanaingia na kutoa hoja mbalimbali.
Suala hapa JE NI WATZ WANGAPI WANAOINGIA KWENYE JF FORUM? sasa hao wasioingia ndio waliommaliza Slaa kabisaaaaaaaaa
Safi sanaaa. Mkweli ni Mkwere,Makamba,Sophia Simba, Chiligati,Tambwe,yule Bondia wa zamani Tyson na Mwenyekiti kivuli wa CCM (RA), na, na,na ........ kweli CCM inajivunia kuwa na utajiri wa viongozi wakweli na makini sana,wachapakazi,wabunifu na waadilifu kuliko chama chochote cha Siasa nchi za kusini mwa jangwa la Sahara. Kwa kweli ni fahari kubwa kuwa mwanachama au mshabiki wa chama hiki.Mzushi tu hana lolote na hafai kupewa nchi sababu yeye na wasaidizi wake hawako makini katika kupokea na kutoa habari
Ndugu yangu acha kabisa kujidanganya kwa polls zilizopigwa hapa JF . naomba ufahamu JF almost imetekwa tena dhahiri na Chadema na pasi na shaka kabisa ni moja kati ya matawi ya Chadema, thats why hata viongozi wao waandamizi wanaingia na kutoa hoja mbalimbali.
Suala hapa JE NI WATZ WANGAPI WANAOINGIA KWENYE JF FORUM? sasa hao wasioingia ndio waliommaliza Slaa kabisaaaaaaaaa
Dr Slaa ni member hapa....anachangia sana na anachukua mawazo pia kwa uangalifu mkubwa na anaiamini JF kama credible source yake ya hoja (from credible members of course sio wakina JeyKeywaUkweli,MS,Kishaga etc)....sasa anapotoa hoja hadharani anaumakini wake...mathalan:
- Issue ya CONATINER LA KURA TUNDUMA ilianzia hapa...thread yake ipo ni kubwa tu
- Suala la RC Shinyanga lilianzia hapa na thread yake ipo
- EPA ilianzia hapa na thread ziko kibao
- MEREMETA pia imo humu
- RICHMOND, DOWANS zote zilianzia hapa
Huyu jama vipi? Haya tuambie RC wa Shinyanga yuko hospitali gani na nani kiongozi gani alyeenda kumjulia hali? Yule kafa we sema wanamficha. Swali watamficha hadi lini?
Kuhusu kura feki, je wewe ulienda kuhakikisha au kwa vile wamezificha, ukweli ni kwamba anayoyasema slaa ni ya kweli na ndio maana wanaogopa kumpeleka mahakamani.
Tokea Slaa aanze kuongea umeshasikia kuna mtu kamfungulia kesi kwa kusema uwongo? Wote hao wanajulikana na ni ukweli mtupu.
Jipange, kalete hoja mpya tena
Ndugu yangu acha kabisa kujidanganya kwa polls zilizopigwa hapa JF . naomba ufahamu JF almost imetekwa tena dhahiri na Chadema na pasi na shaka kabisa ni moja kati ya matawi ya Chadema, thats why hata viongozi wao waandamizi wanaingia na kutoa hoja mbalimbali.
Suala hapa JE NI WATZ WANGAPI WANAOINGIA KWENYE JF FORUM? sasa hao wasioingia ndio waliommaliza Slaa kabisaaaaaaaaa