Dr. W.Slaa ana sifa nyingi sana za uongozi,, lakini mojawapo ya sifa za kiongozi ni kutoa kauli zenye uhakika hasa unapokuwa kiongozi mkuu. Slaa anatarajiwa kuwa Rais,, sifa hii ya umakini wa kauli anapungukiwa sana hasa ukizingatia kauli kadha ambazo amewahi kuzitoa katika kipindi kifupi cha nyumba.
Mathalani kuhusu kontena la kura, kifo cha RC shinyanga na nyingine nyingi. Hizi ni kauli nzito ambazo kiongozi makini asingeweza kuzitoa hadharani kabla hajapata uhakika..
Nashauri ikiwa atakuwa Rais basi ajifunze kuwa na subira, ukisikia jambo usifanye pupa na kuropoka hadharani kuuvuruga muamana.
Bado naendelea na uchunguzi kujua kama kweli Mbowe na SLAA ni waadilifu. Isije kuwa ni usanii tu.
Nitarudi
Mathalani kuhusu kontena la kura, kifo cha RC shinyanga na nyingine nyingi. Hizi ni kauli nzito ambazo kiongozi makini asingeweza kuzitoa hadharani kabla hajapata uhakika..
Nashauri ikiwa atakuwa Rais basi ajifunze kuwa na subira, ukisikia jambo usifanye pupa na kuropoka hadharani kuuvuruga muamana.
Bado naendelea na uchunguzi kujua kama kweli Mbowe na SLAA ni waadilifu. Isije kuwa ni usanii tu.
Nitarudi