Elections 2010 Slaa moto chini

Nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania - 2010 -2015
Willibrod Slaa (CHADEMA) 1480 70.2%
Jakaya Mrisho Kikwete (CCM) 479 22.7%
Ibrahim Lipumba (CUF) 128 6.1%
Hashim Rungwe (NCCR-Mageuzi) 11 0.5%
Mutamwenga Mugahywa (TLP) 9 0.4%

wera weraa weraaaa
 
we si ushapiga kura

aaah Nyani Bado, nataka nimdondoshee mgombea wangu , anayenihakikishia kuwafikisha kina Shimbo kwenye Mkono wa SHERIA, kina RA mahakamani , kina MANJI Na wezi wengine, huyu ni mgombea alie Tayari kufa kutetea wanyonge wa Jamhuri hii, huyu ni shujaa wa nafsi yangu, mpenda maendelea Hasa, huyu ni siri yangu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom