Rafikikabisa
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 252
- 47
nafikiri wote waliozungumzia hili sakata ni kati ya wale wanaofikiri watanzania wako usingizini. Ukimzuia Dr slaa hata na JK hawezi kuwa kabisa na sifa. Ni bora kufunga midomo tu. JK ameisha chukua fomu na nasikia baadhi ya maeneo tayari kuna mabaango ya chagua chamaa na yeye. Kuna kampeni zaidi ya hiyo. TUachane na hizi hoja