Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Taarifa za ujio wa Dr Slaa hapa Lwenzera kesho kwa ajili ya kuendelea kumnadi mgombea wa udiwani kamanda IBUGA zimezidi kuwa koroga zaidi ccm ambao mpaka sasa hawajazindua kampeni zao rasmi badala yake wanaendelea na kampeni za kificho.
Jana jioni lori moja likiwa na shehena kubwa ya culverts zilizotengenezwa kwa simenti liliwasili na kuzishusha mbele ya ofisi za ccm katani hapa.Nakuanzia hapo mkada wao wamekuwa wakipita katika miji na mitaa mbalimbali wakishawishi wananchi wachague mgombea wa ccm kwani kero zote katani humo zitatatuliwa ndani ya muda mfupi ikiwemo ya barabara na kuwa vifaa vimeshaanza kuwasili na kama hawaamini waende kwenye ofisi za chama wakajionee.
Slaa atakuwepo kesho hapa.
Nikiripoti kutoka uwanja wa mapambano na nikiwahakikishieni kuwa hatachomoka katika uchaguzi huu,ni mimi IDIMULWA wa JF
Jana jioni lori moja likiwa na shehena kubwa ya culverts zilizotengenezwa kwa simenti liliwasili na kuzishusha mbele ya ofisi za ccm katani hapa.Nakuanzia hapo mkada wao wamekuwa wakipita katika miji na mitaa mbalimbali wakishawishi wananchi wachague mgombea wa ccm kwani kero zote katani humo zitatatuliwa ndani ya muda mfupi ikiwemo ya barabara na kuwa vifaa vimeshaanza kuwasili na kama hawaamini waende kwenye ofisi za chama wakajionee.
Slaa atakuwepo kesho hapa.
Nikiripoti kutoka uwanja wa mapambano na nikiwahakikishieni kuwa hatachomoka katika uchaguzi huu,ni mimi IDIMULWA wa JF