Hapa hakuna uchochezi wowote unaofanyika. Serikali imeshindwa kuendesha uchumi, imeshindwa kukusanya kodi, wananchi wanalia, sasa Dr Slaa afanye nini? Kama JK na CCM yake wameshindwa kuongoza wapishe, wajiuzulu, uchaguzi ufanyike upya na wenye uwezo waingie watukwamue.
Tatizo sio wewe tatizo ni chanzo cha imani yako.Kumbe Slaa ana sifa ya Umungu mie nilidhani Padre tu.
Kwa kweli Kikwete ana tatizo ambalo ni vigumu kulielewa.... hayupo sawa
Ni taahira fulani hivi!
Mimi nafikiri ni kipindi cha Dr Slaa kujipanga tena kwa ajili ya 2015. Na kuacha kabisa kuchochea wanachama na wapenzi wa chama chake kufanya hujma kwa serikali iliyopo madarakani kwa ajili ya manufaa ya nchi yenu na wananchi wake.
Hakika uchochezi sio mzuri kwa mustakabali wa nchi yenu. Hakika amani ya nchi enu inategemea busara zenu viongozi kwa wanachama wenu.
Fuata za maalim Seif kwa Znz na waZnz.
kumbe slaa ana sifa ya umungu mie nilidhani padre tu.
barubaru wewe kweli, unadhani ni hujuma?uwezo wake wa kuongoza nchi ni mdogo sana, kimsingi he is not a visionary leader at al ndo maana mambo mengi yamestuck, alipendwa tu kwa sura ila hana aiba ya uongozi, na hii ndo hasara ya kuchagua mtu kiushabiki!Mimi nafikiri ni kipindi cha Dr Slaa kujipanga tena kwa ajili ya 2015. Na kuacha kabisa kuchochea wanachama na wapenzi wa chama chake kufanya hujma kwa serikali iliyopo madarakani kwa ajili ya manufaa ya nchi yenu na wananchi wake.
Hakika uchochezi sio mzuri kwa mustakabali wa nchi yenu. Hakika amani ya nchi enu inategemea busara zenu viongozi kwa wanachama wenu.
Fuata za maalim Seif kwa Znz na waZnz.
utajibeba mwaka huu!kumbe slaa ana sifa ya umungu mie nilidhani padre tu.
Laana ya wizi na ujanja ujanja wa ccm na kale kamsemo tutatawala daima na milele lazima iwale na iwatafune bila kubakiza. Na ile laana ya kuwa ni chaguo la Mungu nayo lazima itutafune tushike adabu kisawasawa!!
laana ya uchakachuaji inawatafuna
Well said Mkuu, udhaifu wa JK ukiuweka pembeni bado kuna kikwazo kikubwa kabisa kwa utendaji wa wabunge wa chama tawala wanaofanya mambo kishabikikama mavuvuzela yanayotoa sauti wakati wowote ili mradi yapate mpulizaji. Kwa hakika wabunge wa CCM ni mzigo mkubwa kwa taifa na hasara wanazozisababisha sasa zitadumu kwa miango kadhaa. Ni chini yao serikali za awamu kadhaa za CCM zimethubutu kufanya madudu yasiyoweza fanyika popote kama kuuza nyumba mpaka wanazoishi majaji, mahakimu, mawaziri, na viongozi! Wamebariki mikataba ya kifisadi inayotiririsha damu ya uchumi wa taifa hili na kulidhoofisha kabisa kiuchumi, Wamepitisha miswaada isiyo na tija kabisa na pengine ya kihaini kwa uhai wa demokrasia kama ule wa mabadiliko ya Katiba ambao unatoa adhabu kali kwa watakaoukosoa! Hawa ndiyo wapambe wa Rais wetu JK ambaye naye kama dereva anayebeba walevi wanaomshabikia "chocheaaa" anafuata ushauri wao wenye sumu kali bila kuhoji;sumu ambayo kwa sasa inawauguza na hatimaye itawamaliza woote!Si kweli kudai kuwa mambo yamekuwa hivi au nchi iko katika hali hii kwa sababu eti ya kinyongo cha Doctor. Upuuzi wa Kikwete ulianza kuonekana hata kabla ya uchaguzi wa mwaka 2010. Huyu mtu hana sifa wala uwezo wa kuwa hata monitor wa darasa achilia mbali kuwa rais wa nchi.
Je, ina maana Doctor akifungua moyo wake ghafla wabunge wa CCM nao watapata akili na busara ya kutetea maslahi ya nchi?
Hii assumption kuhusu Doctor ni dhaifu mno, huwezi kumbebesha mtu mzigo wa uzembe wa mtu mwingine hata kidogo.