Dr. Wilbroad Slaa leo amehutubuia mkutano mkubwa Wilayani Mpanda! Katika Mtukano huo ambapo pia Ulihutubiwa na Mabere Marando, Lwakatare, Mbowe pamoja na Mbunge aliye katika Likizo fupi wa Mpanda Mh Arfi Dr. Slaa amewataka Watanzania wote Kuunganisha Nguvu zao ili waweze Kuchagua Mabadiliko, amewaambia Wafanyakazi kwamba yeye hakatai hata kura moja kinyume na Mpinzani wake Mku kutoka CCM Jakaya Kikwete ambaye alisema kwamba Haihitji kura za Wafanyakazi.
Siku zote nasemaga kwamba hawa tunaosema hawana Elimu ( Yaani wasio wa Mjini) Ndio watakaoikomboa hii Nchi kwa Sababu wao ndio huwa wanapiga kura tofauti na Wale wa Mjini ( Wanajiita wasomi) Halafu hawapigi kura huku wakitegemea Mabadiliko. Wananchi wa Mpanda wamehamasika sana.
Mabadiliko ya Kweli Yataletwa na Wasi Wasomi Hakika Nimeamini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.