Slaa hili mbona hulisemei?

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,315
306
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha mzunguko wa pesa kuwa mkubwa (kwani kila mtu anakuwa na pesa) hivyo basi kusababisha mfumuko wa bei kwani kila mtu anakuwa anahitaji kutumia. Mie nikajiuliza kama ni hivyo, mbona sababu hii mtu kama Dr. Slaa haisemi ? au ndio maimuna wa mambo ya uchumi?.
 
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha mzunguko wa pesa kuwa mkubwa (kwani kila mtu anakuwa na pesa) hivyo basi kusababisha mfumuko wa bei kwani kila mtu anakuwa anahitaji kutumia. Mie nikajiuliza kama ni hivyo, mbona sababu hii mtu kama padri Slaa haisemi ? au ndio maimuna wa mambo ya uchumi?.
Sikubaliani na point hii!
Kama kutakuwa na ongezeko la ajira, basi kutakuwa pia na ongezeko la uzalishaji, and, as an altimatum the situation will off-set itself, na hakutakuwa na mfumiko wa bei.
Lakini, labda ueleze vizuri katika suala lako, hizo ajira zimepanda lini, na kwenye maeneo gani?....labda ukijibu hapo ndio tutaenda vizuri, na si kujadili from a virtual point of view!
 
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha mzunguko wa pesa kuwa mkubwa (kwani kila mtu anakuwa na pesa) hivyo basi kusababisha mfumuko wa bei kwani kila mtu anakuwa anahitaji kutumia. Mie nikajiuliza kama ni hivyo, mbona sababu hii mtu kama padri Slaa haisemi ? au ndio maimuna wa mambo ya uchumi?.

Pandikizi la CCM lilohitimu secondary za kata
 
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha mzunguko wa pesa kuwa mkubwa (kwani kila mtu anakuwa na pesa) hivyo basi kusababisha mfumuko wa bei kwani kila mtu anakuwa anahitaji kutumia. Mie nikajiuliza kama ni hivyo, mbona sababu hii mtu kama padri Slaa haisemi ? au ndio maimuna wa mambo ya uchumi?.


nilikuwa napita tu...

sorry for disturbance
 
Sikubaliani na point hii!
Kama kutakuwa na ongezeko la ajira, basi kutakuwa pia na ongezeko la uzalishaji, and, as an altimatum the situation will off-set itself, na hakutakuwa na mfumiko wa bei.
Lakini, labda ueleze vizuri katika suala lako, hizo ajira zimepanda lini, na kwenye maeneo gani?....labda ukijibu hapo ndio tutaenda vizuri, na si kujadili from a virtual point of view!

Mie hii point nakubaliana nayo kabisa , kutokana na sera za uwezeshaji wananchi ajira zimekuwa kwa kiasi kikubwa sana. Mfano, hebu angalia sacco walizoanzisha wananchi na kupata mitaji kutoka mabenki zimeongezeka mpaka sasa zimefikia 12,345. Na sehemu kubwa ziko vijijini zaidi ya 80%
 
Mie hii point nakubaliana nayo kabisa , kutokana na sera za uwezeshaji wananchi ajira zimekuwa kwa kiasi kikubwa sana. Mfano, hebu angalia sacco walizoanzisha wananchi na kupata mitaji kutoka mabenki zimeongezeka mpaka sasa zimefikia 12,345. Na sehemu kubwa ziko vijijini zaidi ya 80%


i didnt know ur so dumb and empty... unapoandika chochote humu uwe unajua sio wasomaji wote ni weupe kichwani kama wewe
 
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha mzunguko wa pesa kuwa mkubwa (kwani kila mtu anakuwa na pesa) hivyo basi kusababisha mfumuko wa bei kwani kila mtu anakuwa anahitaji kutumia. Mie nikajiuliza kama ni hivyo, mbona sababu hii mtu kama padri Slaa haisemi ? au ndio maimuna wa mambo ya uchumi?.

'fOLENI ZA MAGARI DAR NI KUPANDA KWA UCHUMI' by Economist J.K.( Pres. URT)-July,2010
 
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha mzunguko wa pesa kuwa mkubwa (kwani kila mtu anakuwa na pesa) hivyo basi kusababisha mfumuko wa bei kwani kila mtu anakuwa anahitaji kutumia. Mie nikajiuliza kama ni hivyo, mbona sababu hii mtu kama padri Slaa haisemi ? au ndio maimuna wa mambo ya uchumi?.

Huyo mchumi aliyesema hivyo ni zao la sekondari zenu za kata. Ajira ikiongezeka si uzalishaji pia unaongezeka? Na hizo ajira kama zimeongezeka bila kuwepo kipato cha kutosha kuwalipa basi ni ajira zisizo na tija kama zile za serikali za kuajiri kwa kujuana hata kama mwajiriwa hana kazi ya kufanya. Kwa hiyo wage bill inakuwa kubwa kuliko productivity, which is a big problem in our ccm government
 
i didnt know ur so dumb and empty... unapoandika chochote humu uwe unajua sio wasomaji wote ni weupe kichwani kama wewe

Acha kubisha kitu ambacho kama hukijui, haya lete ww data zako basi ! jibu kwa hoja na data sio maneno, kama uwezi wahi jikoni ukakate nyanya mama anakuita ukamsaidie
 
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha mzunguko wa pesa kuwa mkubwa (kwani kila mtu anakuwa na pesa) hivyo basi kusababisha mfumuko wa bei kwani kila mtu anakuwa anahitaji kutumia. Mie nikajiuliza kama ni hivyo, mbona sababu hii mtu kama padri Slaa haisemi ? au ndio maimuna wa mambo ya uchumi?.

Inawezekana sababu yako ina ukweli,
Lakini unataka kutuambia kuwa AJIRA tanzania zimeongezeka?
Na je kwanini watu walalamikie gharama za maisha kupanda kama mzunguko wa pesa ni mkubwa?
ni hayo
 
Kwa nini alisemee Slaa na si mwenye dola mwenyewe? Anyway labda wewe unajua zaidi sababu,vinginevyo ni vile vile tu kwamba Slaa anawanyima watu wengi sana usingizi.
 
Huyo mchumi aliyesema hivyo ni zao la sekondari zenu za kata. Ajira ikiongezeka si uzalishaji pia unaongezeka? Na hizo ajira kama zimeongezeka bila kuwepo kipato cha kutosha kuwalipa basi ni ajira zisizo na tija kama zile za serikali za kuajiri kwa kujuana hata kama mwajiriwa hana kazi ya kufanya. Kwa hiyo wage bill inakuwa kubwa kuliko productivity, which is a big problem in our ccm government

Sio lazima uzalishaji uongezeke inategemea je uwezo wa uzalishaji bado tunao au ndio ulikuwa kikomo chako, na kutokana na kuongezeka kwa ajira huko na uzalishaji (ambao haukidhi ongezeko) serikali inakusanya kodi na kodi kuongezeka, ambalo hilo ni kweli , hivi sasa wanakusanya zaidi ya Tshs 400bn kwa mwezi
 
Unataka kusema kuwa saccos zimeongeza kipato cha wananchi wa vijijini!! 'ukipenda..... sepeto unaweza kuiita kijiko kikubwa
 
Kwa nini alisemee Slaa na si mwenye dola mwenyewe? Anyway labda wewe unajua zaidi sababu,vinginevyo ni vile vile tu kwamba Slaa anawanyima watu wengi sana usingizi.

Sababu anazotoa slaa ni za kuchagua chagua ambazo haja yake kubwa ni kutafuta umaarufu wa kisiasa kuliko kuwaelimisha watu
 
Nilikuwa nasikiliza juzi mjadala wa uchumi kwenye Radio Free Africa kuhusiana na sababu za mfumuko wa bei. Wakasema , mojawapo ya sababu za mfumuko wa bei ni kupanda kwa ajira ambapo kunasababisha mzunguko wa pesa kuwa mkubwa (kwani kila mtu anakuwa na pesa) hivyo basi kusababisha mfumuko wa bei kwani kila mtu anakuwa anahitaji kutumia. Mie nikajiuliza kama ni hivyo, mbona sababu hii mtu kama padri Slaa haisemi ? au ndio maimuna wa mambo ya uchumi?.
Samahani mkulu, inaonekana hii elimu ya uchumi waliyopata hao watu ni ya kukariri zaidi kuliko kuelewa, pia ninamashaka sana na kiwango chako cha elimu, asante mkulu.
 
Duh hii kali sana. Ukiona hivyo huyo atakua anafikiria ka Idd Amin vile! Huwezi kuwa na ongezeko la ajira bila production. Kwa mfano kama ni waalimu watatoa graduate ambao pia waproduce katika sector mbalimbali, kama wakulima wanaopata maelekezo kutoka kwa graduates wa kilimo wataproduce hence kila kitu kitabalance. Anyway nafikiri huyo alikua anaexpress haki yake ya kuongea. Ila kwa TZ yetu watu wanaweza wakawawamefungua viofis vyao vya kufanya money laundry ameajiri watu hawaproduce chochote anawapa mshahara mkubwa mana office inasafisha hela toka kwenye dirty dieals. Yote yanawezekana TZ bwana, hi ni nchi zaidi ya uijuavyo
 
Back
Top Bottom