Najaribu kuangalia mazingira yaliowatoa wanasiasa hao hapo juu ccm na kujiunga na upinzani. Mrema aliondoka ccm akiwa ni mbunge and waziri,akaacha hivyo vyeo vikubwa hapa nchini vilivyokuwa vikimpatia mapato makubwa na kujiunga upinzani,kama siyo siasa za undumilakuwili za akina marando,lamwai,makongoro nk leo tanzania hii isingekuwa hivi ilivyo. Nimekuwa nikijiuliza kama slaa ndio angekuwa mrema angekubali kuachia shavu na mapochopocho ya uwaziri na ubunge ili awapiganie watanzania?? Jibu ni the big NO! Kwa tamaa ambayo anaionyesha sasa huyu padri, sidhani kama ana hizo guts! Slaa aliamia upinzani baada ya kugaragazwa kwenye kura za maoni, kwa staili yake hii ya kupenda fedha za ubunge kuliko kitu chochote huyu padri kama angeshinda zile kula za maoni angekuwa ccm hadi leo! Kilichomuondoa ccm ni visasi na chuki ambazo hadi leo anaziendeleza! Slaa kwa tamaa zake za fedha asingeweza kuachia ubunge na uwaziri kama alivyofanya lyatonga! NAMSHUKURU MUNGU KAMPA SLAA UMAARUFU UZEENI,KWANI SI MUDA MREFU ATAPERISH,HUYU PADRI KAMA ANGEKUWA NI KIJANA BASI ANGELIYUMBISHA SANA TAIFA HILI KWA SIASA ZAKE ZA UASI,CHUKI,VISASI,KUMWAGA DAMU NA KUKURUPUKA! THANKS LORD PADRI MUASI AMESHAZEEKA AND SIJAWAHI KUMUONA MWANAMAPINDUZI MZEEE,LABDA WA 1 ATAKUWA TANZANIA!!!!